Mwanamke ni mtu wa kukaa nyumbani na kumsikiliza Mume wake, nani anabisha?

Mwanamke ni mtu wa kukaa nyumbani na kumsikiliza Mume wake, nani anabisha?

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Mwanamke hakuna mahali kwenye maandiko, asili ya maisha ya Mwanadamu alipopewa nafasi ya kuongoza kiibada au kiutawala.

Baada ya kuletewa hizi dini za wageni, dini za michongo tunawaona wanawake wanakuwa (Wachungaji) manabii shetani ameshika hatamu kwa kupitia Wanawake. Wanaume tumekuwa dhaifu wanawake ni wakukaa nyumbani tu na kumsikiliza mme wake over.

Shetani yupo karibu na mwanamke,kwahiyo ndugu zangu amkeni utumwa bado unatutafuna, wanaume baadhi wamekuwa kama wanawake.

Unampa Mwanamke elimu ili awe kiongozi wako 🤔 tena hii elimu ya kiutawala. Mwanamke apewe elimu ya kumjua Mungu na njia sahihi sio elimu ya kidunia.

Mwanamke mwenye hofu ya Mungu ni bora kuliko mwanamke mwenye elimu ya degree n.k kama unabisha njoo kwa hoja yenye fact.
 
mama yako yuko na degree ngapi? Na Baba ako kama yupo au kama hayupo wewe umekula mzoga au mama ako kala mzoga wake.
Siongei na vijana msio jielewa
Unafikiri kumuweka mke wako ndani kama chupi kutakufikisha popote

Lazima achakalike maana hakuna anayejua kesho tatizo mnawaza wadada wenye vishundu na makope mkitegemewa kupewa visamvu ndio wawe wake zenu
 
Mwanamke hakuna mahali kwenye maandiko, asili ya maisha ya Mwanadamu alipopewa nafasi ya kuongoza kiibada au kiutawala.

Baada ya kuletewa hizi dini za wageni,dini za michongo tunawaona wanawake wanakuwa (Wachungaji) manabii shetani ameshika hatamu kwa kupitia Wanawake. Wanaume tumekuwa dhaifu wanawake ni wakukaa nyumbani tu na kumsikiliza mme wake over.

Shetani yupo karibu na mwanamke,kwahiyo ndugu zangu amkeni utumwa bado unatutafuna,wanaume baadhi wamekuwa kama wanawake .

Unampa Mwanamke elimu ili awe kiongozi wako 🤔 tena hii elimu ya kiutawala . Mwanamke apewe elimu ya kumjua Mungu na njia sahihi sio elimu ya kidunia.


..... Mwanamke mwenye hofu ya mungu ni bora kuliko mwanamke mwenye elimu ya degree n.k kama unabisha njoo kwa hoja ya fact .

.....

Mkuu habari za huko kwenu Kabul? Wazima huko? Mvua vipi huko? Umetutembelea lini? Karibu sana. Ujisikie uko nyumbani.
 
Siongei na vijana msio jielewa
Unafikiri kumuweka mke wako ndani kama chupi kutakufikisha popote

Lazima achakalike maana hakuna anayejua kesho tatizo mnawaza wadada wenye vishundu na makope mkitegemewa kupewa visamvu ndio wawe wake zenu
Mpaka sasa hivi utambui kama wewe ni mwanaume, ndo maana unataka uchakalike na mwanamke achakalike.
.... sasa kama wewe unajitambua naomba unipe maana ya mwanaume?
 
Mwanamke hakuna mahali kwenye maandiko, asili ya maisha ya Mwanadamu alipopewa nafasi ya kuongoza kiibada au kiutawala.

Baada ya kuletewa hizi dini za wageni, dini za michongo tunawaona wanawake wanakuwa (Wachungaji) manabii shetani ameshika hatamu kwa kupitia Wanawake. Wanaume tumekuwa dhaifu wanawake ni wakukaa nyumbani tu na kumsikiliza mme wake over.

Shetani yupo karibu na mwanamke,kwahiyo ndugu zangu amkeni utumwa bado unatutafuna, wanaume baadhi wamekuwa kama wanawake.

Unampa Mwanamke elimu ili awe kiongozi wako 🤔 tena hii elimu ya kiutawala. Mwanamke apewe elimu ya kumjua Mungu na njia sahihi sio elimu ya kidunia.

Mwanamke mwenye hofu ya Mungu ni bora kuliko mwanamke mwenye elimu ya degree n.k kama unabisha njoo kwa hoja ya fact.


Unamaanisha tukae nyumbani kabisaaa!!???
Hutaki usaidizi wewe!?
 
Mwanamke hakuna mahali kwenye maandiko, asili ya maisha ya Mwanadamu alipopewa nafasi ya kuongoza kiibada au kiutawala.

Baada ya kuletewa hizi dini za wageni, dini za michongo tunawaona wanawake wanakuwa (Wachungaji) manabii shetani ameshika hatamu kwa kupitia Wanawake. Wanaume tumekuwa dhaifu wanawake ni wakukaa nyumbani tu na kumsikiliza mme wake over.

Shetani yupo karibu na mwanamke,kwahiyo ndugu zangu amkeni utumwa bado unatutafuna, wanaume baadhi wamekuwa kama wanawake.

Unampa Mwanamke elimu ili awe kiongozi wako 🤔 tena hii elimu ya kiutawala. Mwanamke apewe elimu ya kumjua Mungu na njia sahihi sio elimu ya kidunia.

Mwanamke mwenye hofu ya Mungu ni bora kuliko mwanamke mwenye elimu ya degree n.k kama unabisha njoo kwa hoja ya fact.
Hivi mpaka leo hii bado kuna wanaume wenye msimamo huu?!🫢
 
Back
Top Bottom