Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti eeh sawa.... mbona kila mwezi haibadilikiZama zimebadilika siyo kila homa ni malaria kaka..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo lawama kwa nani. We ndo dishi layumba Nyie ndo mnapenda wanalamba lips. Afu utegemee Mwanaume [emoji16]
Sasa uchumi hauruhusu mzazi mmoja kumudu mahitaji yote, lazima baba na mama wasaidiane, labda kama baba ni fogo, kitu ambacho hakipo kwenye asilimia kubwa ya familia.....Hizo kazi za nyumbani tangia Enzi za mababu zetu ni kazi za wanawake na kazi za wanaume ni kuhakikisha tunatunza familia na kuiongoza.
Wanawake wapo Ili wazae na walee watoto.Cha ajabu maendeleo ya Dunia pamoja na elimu yamevuruga mfumo mzima wa kimajukumu kwenye familia sasa hivi.
Mwanamke na Mwanaume wote wanafanya kazi wanaondoka asubuhi mapema sana na kurudi usiku kutoka kazini wote wamechoka.
Wote wanahitaji kupumzika.Mume anakosa wa kumpumzisha na kumliwaza na hustle zake za siku sababu nyumba tayari Ina wanaume wawili (mmoja kasoro kiungo tu) wote wanafanya kazi.
Watoto wanakosa malezi ya mama.House gelo ndyo anakuwa kama mke wa Baba na Mama ni mivurugano tu.
Mwanamke wa sasa hivi Dunia imemtengeneza kuwa mwanaume.
Ni kweli Mzee lakini Hilo jukumu familia nzima inamuangalia Baba Hadi huyo mke mwenye kazi.Sasa uchumi hauruhusu mzazi mmoja kumudu mahitaji yote, lazima baba na mama wasaidiane, labda kama baba ni fogo, kitu ambacho hakipo kwenye asilimia kubwa ya familia.....
Shukhuran. Amen ubarikiwe🙏🙏Hizo kazi za nyumbani tangia Enzi za mababu zetu ni kazi za wanawake na kazi za wanaume ni kuhakikisha tunatunza familia na kuiongoza.
Wanawake wapo Ili wazae na walee watoto.Cha ajabu maendeleo ya Dunia pamoja na elimu yamevuruga mfumo mzima wa kimajukumu kwenye familia sasa hivi.
Mwanamke na Mwanaume wote wanafanya kazi wanaondoka asubuhi mapema sana na kurudi usiku kutoka kazini wote wamechoka.
Wote wanahitaji kupumzika.Mume anakosa wa kumpumzisha na kumliwaza na hustle zake za siku sababu nyumba tayari Ina wanaume wawili (mmoja kasoro kiungo tu) wote wanafanya kazi.
Watoto wanakosa malezi ya mama.House gelo ndyo anakuwa kama mke wa Baba na Mama ni mivurugano tu.
Mwanamke wa sasa hivi Dunia imemtengeneza kuwa mwanaume.
We siku moja upate mimba ya mke wako labda maana sikusaidizana.Sasa uchumi hauruhusu mzazi mmoja kumudu mahitaji yote, lazima baba na mama wasaidiane, labda kama baba ni fogo, kitu ambacho hakipo kwenye asilimia kubwa ya familia.....
Mnaweza sasa. ... hakuna mwanamke anayeweza tunza familia.Hatutaki. Hata nyie mkitaka tunawaweka ndani.
PoleEti eeh sawa.... mbona kila mwezi haibadiliki
Nikupe wewe polePole
We mwanamke au mwanaume samahani lakiniMimi nabisha
MwanaumeWe mwanamke au mwanaume samahani lakini
Unajua majukumu ya MWANAUME au we ni kibentenMwanaume
Kutunza familia, haswa kiuchumi na kwenye kufanya maamuzi magumuUnajua majukumu ya MWANAUME au we ni kibenten
Mwaume kamili hutembea na nature siku zote.Tupo na hatufikirii kabisa kuishi kizembe kwa kuruhusu hicho kitu.Hivi mpaka leo hii bado kuna wanaume wenye msimamo huu?!🫢