genius_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 474
- 1,237
Kiuhalisia shetani hakumfata mwanaume kule kwene bustani bali alimfata mwanamke na kumdanganya
Kwahyo hata sasa tunaletewa hii mifumo ya kidunia kwa njia ya feminism ili tuone kwamba hawa wanawake ni sawa na wanaume
Anajua mwanamke akishamtawala mwanaume bas kazi yake inakua rahisi sana
Jiulize ni kwann mambo ya ushoga yanazidi kishamiri? Lengo ni kumaliza kizazi hasa wanaume, wanaume wakishakua wanawake kazi imekwisha
Wanaume tushtuke tuache ufala wa kusema mwanamke anatakiwa kufanya kazi ili kutunza familia, usaidizi anaotakiwa kutoa mwanamke ni kulea familia(watoto) na kumtunza mumewe
Kwahyo hata sasa tunaletewa hii mifumo ya kidunia kwa njia ya feminism ili tuone kwamba hawa wanawake ni sawa na wanaume
Anajua mwanamke akishamtawala mwanaume bas kazi yake inakua rahisi sana
Jiulize ni kwann mambo ya ushoga yanazidi kishamiri? Lengo ni kumaliza kizazi hasa wanaume, wanaume wakishakua wanawake kazi imekwisha
Wanaume tushtuke tuache ufala wa kusema mwanamke anatakiwa kufanya kazi ili kutunza familia, usaidizi anaotakiwa kutoa mwanamke ni kulea familia(watoto) na kumtunza mumewe