Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

raxx

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2016
Posts
326
Reaction score
284
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
Barikiwa mkuu...
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
Kumbe Adam na eva ulikua uumbaji wa pili?ndio nimejua leo 🙏
 
Hata Qur'an haijamwesabu mwanamke km mtu, ndio maana dunia inasema Uislaam imemnyima haki mwanamke na kumtenga
 
Sasa atakuaje na mifano miwili ya mwanamke na mwanaume! Na Mungu ni mmoja
Mungu ni roho kamili na kamilifu wake hauna mipaka. Sisi tunafanana na Mungu kwa sura nikimanisha roho zetu zimeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. .

Maumbo yanatofautiana kwa sisi binaamu na sura yetu tunafanana manake tuna mikono miwili, tuna kicha, tuna tumbo, tuna miguu miwili nk. Kwa namna hii ndio binadamu tunafanana. .
 
Mungu ni roho kamili na kamilifu wake hauna mipaka. Sisi tunafanana na Mungu kwa sura nikimanisha roho zetu zimeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. .

Maumbo yanatofautiana kwa sisi binaamu na sura yetu tunafanana manake tuna mikono miwili, tuna kicha, tuna tumbo, tuna miguu miwili nk. Kwa namna hii ndio binadamu tunafanana. .
Umechanganya madawaa!
FB_IMG_1654116909810.jpg
 
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Man is from Mars and Women is from venus
 
Back
Top Bottom