Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

So wanaita Mungu baba kimakosa au sio [emoji1]
Nafurahi sana kuona watu wanauliza maswali mazuri kama haya bila kejeli wala matusi.
Mungu ni Roho ndugu yangu ndio maana hata Yesu alikuja duniani akashika mwili. Sasa roho haina jinsia wala haihitaji ngono au kwenda haja kubwa wala ndogo. Roho haina tumbo ukasema linakula likashiba chakula. Ila kuna chakula cha kuimarisha roho, hili ulijue. .

Hata ukisoma katekisimu ya katoliki inasema Mungu si mwanaume wala mwanamke, ila neno Baba limetumika kama alama kwenye Bible. Yeye mwenyewe kajiita Baba kama cheo nadhani umenielewa. Kama hujanielewa unaweza niuliza. .
 
Mtu na sio watu...usibadilishe maana
Ikiwa ni Mtu, huoni unajifunga mwenyewe mkuu. Kwakuwa neno Mtu ni umoja na si wingi

Kwaiyo tunakubaliana sasa kuwa Mungu aliumba mtu mmoja ambaye ni Adamu

Maana maandiko yanasema mungu aliumba Mtu (umoja) na sio Watu.

Maana hata kwa material tu yaliyotumika kumuumba Eva yanaonesha wazi tu kuwa hawa raia walikuwa ni vitu viwili tofauti. Mmoja aliumbwa udongo mwingine kwa mbavu
 
Ikiwa ni Mtu, huoni unajifunga mwenyewe mkuu. Kwakuwa neno Mtu ni umoja na si wingi

Kwaiyo tunakubaliana sasa kuwa Mungu aliumba mtu mmoja ambaye ni Adamu

Maana maandiko yanasema mungu aliumba Mtu (umoja) na sio Watu.

Maana hata kwa material tu yaliyotumika kumuumba Eva yanaonesha wazi tu kuwa hawa raia walikuwa ni vitu viwili tofauti. Mmoja aliumbwa udongo mwingine kwa mbavu
Soma kwa makini haya maandiko, kisha niambie umeelewa mtu ni nani...

Kumbuka haya yakitokea, hakukuwa na huyo Adam wala Eva(Hawa)

Mwanzo 1
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
 
Soma kwa makini haya maandiko, kisha niambie umeelewa mtu ni nani...

Kumbuka haya yakitokea, hakukuwa na huyo Adam wala Eva(Hawa)

Mwanzo 1
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
🙏🙏🙏. Nimeelewa sasa
 
Ila wanajua mengi kuhusu visivyoonekana (ulimwengu wa roho). Kuna Siri alizooambiwa na shetani kabla ya kula lile tunda. Wao ni binadamu ila hawajakamilika kama wanaume. Kale kaubavu kamoja ni sehemu ndogo sana ya mwanaume. Ila natoa tu ushauri kuwa mwanaume usijifanye mjanja mbele ya mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom