Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

Bado hilo andiko halithibitishi kauli yako kuwa "mwanamke si mtu"

Ukiweza thibitisha mwanamke si mtu, unijibu pia mwandishi mwanamke ni nani.?
 
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Mwanamke ni kopo tu
 
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Lakini kumbuka huyo ambaye unamuita sio MTU ndio kakuzaa na kukulea mpaka ulipojitambua[emoji848][emoji2827]
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.[emoji1545]
 
Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.[emoji1545]
Tatizo kubwa la watu wanashindwa kuelewa maana ya maneno kwenye Bible, ujue huu ujumbe umebeba maana kubwa sana. Kitu kingine watu wanafikiria kuwa uumbaji ulifanyika siku moja ila ulikuwa wa miaka mingi hususani wasomi wanaposema miaka elfu 1 ni siku moja kwa Mungu. .
 
Hata zama za mitume na na manabii ilikuwa ikipita sensa wanahesabu vichwa vya wanaume tu... Hivyo kwenye Bible ukisikia inatajwa idadi ya watu ujue hao walikuwa ni wanaume tu
Mama yake yesu hakutajwa kwenye biblia au yule mschana aliyemfuta yesu miguu na machozi yake?

Tukumbushane kidogo mkuu
 
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Mwanzo 1:27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
 
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua

Adamu hakuzidiwa ujanja Ila aliamua kumuasi Mungu makusudically.
Ilikuwa time ya kuchagua moja Kati ya Mkewe au Mungu. Adamu akachagua Mke.

Kuhusu Mwanamke sio mtu nakubaliana na wewe, Ila alitwaliwa kutoka Kwa Mtu
 
watu wanafikiria kuwa uumbaji ulifanyika siku moja ila ulikuwa wa miaka mingi hususani wasomi wanaposema miaka elfu 1 ni siku moja kwa Mungu. .
Big no!! ume-over look!!…….unapaswa kujua mwandishi anamaanisha nini? na uijue vyema Lugha ya ki-Biblia Takatifu, Na ujue fika kuwa Biblia huwezi isoma kama kitabu cha Hadithi/hekaya

eti bila kutanguliza Maombi kwanza, ukifanya ivo unatwanga maji kwa kinu, sasa sikia wenye uelewa wa Roho Mtakatifu tukupe maneno ….aliposema……...

''Miaka Elfu moja kwa- (Mungu)……..ni sawa sawa na siku moja kwa -(Mwanadamu!!)……...na uumbaji ulipo fanyika hakusema kwamba anafanya uumbaji ule kwa siku zake za Mbinguni!!!

Bali alifanya kwa siku za kibinadamu ili uelewe wewe uliye na usiye Mtoto wake!!! msimlishe Mungu maneno bure ni hatari kwako! Hili neno ''kwa'' ndo linawasumbua wengi,

Yaani mnaosoma soma tu! maandiko km novel! na bila Maombi! wala kumkaribisha maongozi ya Roho Mtakatifu ........utakuwa kizazi kingine kabisaa!

Narudia tena msimlishe Mungu Maneno!! na tubuni kabla sijawapa adhabu ambayo hamta isahau au kuzimu imekutuma kijana?!
 
Miaka Elfu moja kwa- (Mungu)……..ni sawa sawa na siku moja kwa -(Mwanadamu!!)……...na uumbaji ulipo fanyika hakusema kwamba anafanya uumbaji ule kwa siku zake za Mbinguni!!!
Roho mtakatifu kakushauri useme hivi unajua ulichokizungumza
🤣 🤣 🤣 Nenda kasome 2 Petro 3:8
Mie nina cheti cha Bible knowledge mbali na kuwa msomaji wa Biblia pia na connect dots za Biblia kwa mfano: Safari za Paulo huwa naangalia alipopitia na geography ya dunia si safari alizopota ziko duniani?

Hoja ambayo nasoma Bible kama Novel ni ya kwako. Ila huu uzi upo kwa kuelimishana na sio kubishana ningekuelimisha ila ni ngumu mtu kuja kutaka kujifunza na kutaka kubishana. Tufanye hapo umeshinda wewe 😄
 
Mwanzo 1:27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Soma huo mstari wa kwanza kwamba MUNGU akaumba mtu. Na sio watu? Ni kweli mwanamke aliumbwa na MUNGU lakini sio mtu. Mtu aliyeumbwa hapo ni mmoja nae ni Adam.

Hakuna sehem inayosema Mungu aliumb watu
 
Soma huo mstari wa kwanza kwamba MUNGU akaumba mtu. Na sio watu? Ni kweli mwanamke aliumbwa na MUNGU lakini sio mtu. Mtu aliyeumbwa hapo ni mmoja nae ni Adam.

Hakuna sehem inayosema Mungu aliumb watu
Lengo lako ni nini hasa?
 
Back
Top Bottom