Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
[emoji23][emoji23][emoji23]..

Kwa utafiti wangu humu Jf nimegundua wanaume wengi wanalalamika kuhusu mapenzi kupita wanawake

Hii imekaake wakuu?? [emoji848]
 
mmemua kukashifu mama na binti zenu kwa kupodtosha Biblia?
 
Mtu na yesu na wafuasi wake wamfuatao Mungu na kushika sheria kikamikilifu

While mashetani NI wanamuunga mkono ibilisi yaani ujinga na kwa kukosa Imani wametupwa na hawatuona Mungu Tena kamwe
 
Kwakua mtu alizaa na ki- mtu basi kila mtu ana gene za ki-mtu hivyo uzao wa mtu na ki-mtu unaendelea.
 
Ulimuona wapii?

Ni kwanini anaitwa Mungu baba?
Biblia imetumia neno Baba na Mfalme kumzungumzia Mungu ila Mungu hana jinsia Yeye sio mwanaume wala sio mwanamke ni roho. Kitu ambacho hujui ni kuwa Roho haina jinsia hata kidogo ndo mana unazuzuka na neno baba. Biblia pia inamzungumzia yesu kama Kaka, kwa kutujumuisha sisi sote kama ndugu zake alipokuwa katika mwili. Pia Biblia inazungumzia kuwa Yesu ni katika ndoa na kanisa, Yeye ni Mume na kanisa ni Mke. .

Ila kufanana na mwanadamu na Mungu ni katikas roho sio katika maumbile ya mwili. Mungu kuitwa baba ni cheo tu ila haipo kwa kuwa ana jinsia anakwenda chooni kama wewe na mimi. Mbinguni kuna chakula ha kushibisha roho ambacho kinakupa ertenity life. Nadhani umenielewa kama hujanielewa siwezi kukueleza zaidi ya hapa. Biblia haisomwi kama genzeti kila kitu kimeandikwa kwa mafumbo ili uweze kutatua hili fumbo ni kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, ndio maana hata Yohana inazungumzia hapo mwanzo kulikuwa na Neno naye neno anatafsiriwa kama Yesu kwa sababu tumefunuliwa kuelewa hilo. .
 
1 Wakorinto 14:34...& 1Tim 2:11-12..!
Hizi pia ni verse/aya/sura chache kati ya nyingi zilizo katika Biblia kuhusu Mwanamke...
Mwanamke akielezwa kama kiumbe dhaifu,kiburudisho,asiye na neno/uhuru/hisia,kahaba,msaliti,uwezo mdogo kichwani n.k...Biblia inaunyanyapaa na makandimizo kwa wanawake,haifai.

WOE TO THE WOMEN THE BIBLE TELL ME SO.
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
Kwa hiyo huyo mwanamke aliyeumbwa na mungu siyo huyu hawa tunaeambiwa? . Maana hawa ametokana na sehemu ya meili wa adam
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
Astaghfirullah!! Umejitahidi kuandika as per your understanding ila hitimisho lako ni baya sana. Tubu kwa mola wako na usikate tamaa kwenye tova hata ujihakikishie kuingia motoni.
 
Unazungumzia Mwanamke au unazungumzia Eva.
 
Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27

Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .

Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .

Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .

Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
umejitahidi sana kumjibu huyo ndugu,ila umeuwasha moto ambao huwezi kuuzima,kusema kulikuwa na watu kabla ya adam,na kaini hakuoa dadake,bali alioa hayo majitu,,hii mada ngumu sana..
 
umejitahidi sana kumjibu huyo ndugu,ila umeuwasha moto ambao huwezi kuuzima,kusema kulikuwa na watu kabla ya adam,na kaini hakuoa dadake,bali alioa hayo majitu,,hii mada ngumu sana..
Ni kweli unachosema na mimi sina nguvu za kuelezea watu maana kutype ni kazi sana. Ila nimejaribu kuwawekea link ya mtu mwenye idea kidogo kama yangu waone People before Adam | Thinkers Bible Studies. Ila iko siku nitafungulia uzi hili jambo. .
 
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.

Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui

Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.

Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua

Mnapoandika vitu muwe mmesoma na kujipa maarifa ya kutosha.

Mtu = Mwanaume + Mwanamke kwa ujumla wao

Usilinganishe kati ya mtu na mwanadamu
 
Back
Top Bottom