makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mwanamke ni kopo tuWakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.
Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui
Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.
Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Lakini kumbuka huyo ambaye unamuita sio MTU ndio kakuzaa na kukulea mpaka ulipojitambua[emoji848][emoji2827]Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.
Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui
Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.
Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.[emoji1545]Mwanzo 1:26 - 27
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.
Ukiwa unaandika vitu ukumbuke kuonyesha ushahidi wa unachokizungumza na hivi huficha ujinga wako. Mungu aliumba mwanamke na mwanaume kwa mfano wake kabisa hapo mwanzo kwa mda mmoja na wakapuliziwa pumzi ya uhai. Huu uumbaji umetokea mwanzo 1: 26-27
Mungu alipoona kuna duniani mbali na kujiweka karibu na binadamu hawakuwa karibu nae hivyo akafanya uumbaji wa pili. Hapa ndio tunamuona Mungu anamuumba Adam na Eva, ila hawa hawakuwa watu wa kwanza duniani kwa kuwa duniani teyari kulikuwa na watu wengine kama magiant n.k. Pale kaini alipomuua Abeli basi Mungu alimuweka Cain chapa siuliwe na mataifa na Kain alitoka na kwenda kuoa watu ambao walikuwepo teyari (soma Mwanzo 4 16-17). Kwa hiyo Cain alienda kwenye nchi yenye watu na akaoa. .
Sasa baada ya Mungu kuona kuwa watu wamemsahau akafanya uumbaji ambao unazungumziwa mwanzo 2. Hapa tunaona Mungu alifanya bustani ya Eden na alikuwako mtu mwanaume anaitwa Adam. Baadae Mungu akachukua mfupa kwenye ubavu wa mwanaume na kumfanya mwanamke (Soma mwanzo 2:15-25). A woman is reffered to as Helper in this Bible chapter. Therefore this is important a woman is for this man to be helping him and God to notice. Wewe unasema mwanamke sio mtu kwa mujibu wa Biblia which is not true. Ila ukumbuke kuna WOMEN BIBLE na MEN BIBLE siku hizi usije changanya na THE HOLLY BIBLE. .
Sasa Mungu alimuumba Adam na Eva ili kupitia wao Yesu azaliwe akomboe dunia. Aliwaumba hawa ili ajenge ukaribu na binadamu na ndio maana akachagua taifa teule la Israel ili kupitia Israel wamjue Mungu. Mungu alitaka ajidhihirishe kwa wanadamu kupitia taifa lenye usafi na kutimiza ahadi alizotoa ikiwemo ujio wa masihi. Science inatambua kipindi cha Adam na ndio maana katika historia wanazungumzia Adamic period. Ila kuna period ambazo ziko kabla ya Adam. Kama hujaelewa tena hpa basi tufanye umefika ukomo wa kuelewa mambo na tuishia hapa. .
Sitaki kuulizwa nimeandika vitu vinavyoeleweka kabisa. Kama hujaelewa vunga tutakutana motoni nina dhambi kibao hapa nilipo. .
Tatizo kubwa la watu wanashindwa kuelewa maana ya maneno kwenye Bible, ujue huu ujumbe umebeba maana kubwa sana. Kitu kingine watu wanafikiria kuwa uumbaji ulifanyika siku moja ila ulikuwa wa miaka mingi hususani wasomi wanaposema miaka elfu 1 ni siku moja kwa Mungu. .Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.[emoji1545]
Hahahaa dahDuniani Kuna watu na wanawake.
Icho ni kitabu kitafute ukisomeFafanua…...
Mama yake yesu hakutajwa kwenye biblia au yule mschana aliyemfuta yesu miguu na machozi yake?Hata zama za mitume na na manabii ilikuwa ikipita sensa wanahesabu vichwa vya wanaume tu... Hivyo kwenye Bible ukisikia inatajwa idadi ya watu ujue hao walikuwa ni wanaume tu
Acckrding to?Man is from Mars and Women is from venus
Unaelewa maana ya sensa?Mama yake yesu hakutajwa kwenye biblia au yule mschana aliyemfuta yesu miguu na machozi yake?
Tukumbushane kidogo mkuu
Sijui mkuu nifahamisheUnaelewa maana ya sensa?
Mwanzo 1:27Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.
Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui
Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.
Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu.
Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui
Kwa ajili hii ndio maana Adam akaambiwa aishi naye kwa akili sababu sio mtu kama yeye.
Adam akazidiwa ujanja mwishowe kilichomkuta sote tunakijua
Big no!! ume-over look!!…….unapaswa kujua mwandishi anamaanisha nini? na uijue vyema Lugha ya ki-Biblia Takatifu, Na ujue fika kuwa Biblia huwezi isoma kama kitabu cha Hadithi/hekayawatu wanafikiria kuwa uumbaji ulifanyika siku moja ila ulikuwa wa miaka mingi hususani wasomi wanaposema miaka elfu 1 ni siku moja kwa Mungu. .
Roho mtakatifu kakushauri useme hivi unajua ulichokizungumzaMiaka Elfu moja kwa- (Mungu)……..ni sawa sawa na siku moja kwa -(Mwanadamu!!)……...na uumbaji ulipo fanyika hakusema kwamba anafanya uumbaji ule kwa siku zake za Mbinguni!!!
Soma huo mstari wa kwanza kwamba MUNGU akaumba mtu. Na sio watu? Ni kweli mwanamke aliumbwa na MUNGU lakini sio mtu. Mtu aliyeumbwa hapo ni mmoja nae ni Adam.Mwanzo 1:27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Lengo lako ni nini hasa?Soma huo mstari wa kwanza kwamba MUNGU akaumba mtu. Na sio watu? Ni kweli mwanamke aliumbwa na MUNGU lakini sio mtu. Mtu aliyeumbwa hapo ni mmoja nae ni Adam.
Hakuna sehem inayosema Mungu aliumb watu