Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Kwanini isiwezekane?

Tatizo kubwa la vijana ni *lishe duni na *ubishoo.

Kama mtu ni bishoo hawezi kupata hela.

Na kama hana hela hawezi kula vizuri.

Na pia iwapo akili hana basi hajui ale nini ili amudu kufanya mapenzi kwa ufanisi.
Watanzania hawaamini Hilo...wanajua ukiwa na Hela lazima uwe mlemavu wa viungo vya uzazi,na ukiwa na nguvu kwenye viungo vya uzazi lazima uwe maskini
 
𝗨𝘀𝗶𝘀𝗮𝗵𝗮𝘂 𝗽𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗽𝗼 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘂𝗺𝗲 𝗮𝗺𝗯𝗮𝗼 𝗻𝗶 𝗳𝘂𝗹𝗹 𝗽𝗮𝗰𝗸𝗮𝗴𝗲, 𝗹𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗽𝗿𝗲𝘁𝗲𝗻𝗱 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗶𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗮𝗽𝗼 𝗵𝗮𝗽𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗹𝗲𝗻𝗴𝗼 𝗯𝗶𝗻𝗮𝗳𝘀𝗶.
Mtafika Mbinguni hoiii
 
🤣🤣🤣Eti samahani mume wangu....halafu akimaliza na yeye anasema samahani mke wangu Kuna mchongo nakusikiliza,una buku hapo?
Hapana akimaliza anaulizwa "vipi, mbona ulikuwa unaomba msamaha"?
"utasikia aaagh yani ukichonifanyiaaaa mmmmmhhh!"

Basi hapo kidume kinajiandaa kisha kinaacha hela ya matumizi mezani, kisha busu la komwe na kuaga.
 
Mfano sasa hivi mda huu nipo kwenye mgahawa zimeingia pisi mbili kali,zimetangulizwa then vibabu vyao vimewafuata kwa nyuma. Mmmoja sijui hana experience ila anavyo ongea na kibabu chake anaona aibu na hayupo comfortable kabisa.

Kusema ukweli wanaume ambao mnawataka nyinyi wa kuwapa hela kwa ajili ya vitu luxury ni vibabu na wanaume za watu. Ila vijana ambao ni age yenu uwezo wao ni kuwapa mahitaji ya MSINGI.Swala lenu mkubali kuwa nyumba ndogo au single mother. Yaani siku hizi mnataka kijana anaye jitafuta ahandle vikoba,mikopo,michezo majina matatu na mahitaji mengine ni uongo.

Tatizo siku hizi hamjui kutofaitisha lipi hitaji la msingi lipi ni luxury na wengine hata zile feelings za mapenzi mshapoteza, mnafikiria hela sometimes mkikutana na wahuni wana watumia vibaya kingono na nyinyi mnaona sawa.

Yaani na watizama hawa mabinti hapa hata ile chemistry huioni bali tu wanatizama pochi basi.
Mi sijasema nataka kibabu Cha kunipa Hela mkuu umenisoma vibaya,nimesema ukipata wa kukupa vyote?kwani wenye Hela ni vibabu tu?hakuna vijana wenye Hela?
 
Hapana akimaliza anaulizwa "vipi, mbona ulikuwa unaomba msamaha"?
"utasikia aaagh yani ukichonifanyiaaaa mmmmmhhh!"

Basi hapo kidume kinajiandaa kisha kinaacha hela ya matumizi mezani, kisha busu la komwe na kuaga.
Daah huyo ndio mwenyewe Sasa,,hapo ni mwendo wa kuwa nae bampa to bampa😁
 
Back
Top Bottom