Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Wanawake ukipata fursa yoyote kwenye maisha yako usiiache eti kisa kuogopa mwanaume au kuwaza kuwa mbali na huyo mwanaume. Wanawake jifunzeni kujiweka wa kwanza kwenye kila kitu kwani hao wanaume hujiweka wao wa kwanza kabla yenu.
Ikitokea mwanaume kapata fursa labda ya kusoma au kazi mbali na mlipo na ikawa inawaweka mbali hawezi shindwa kwenda kisa kuwa mbali na wewe, hata kama anakupenda namna gani atajitahidi aende huku anakufikiria wewe ila kaenda.
Hapo kuna wanaume wa aina mbili, wakipata fursa kuna wanaokwenda na baadae kutafuta namna ya kukuweka kwenye hayo maisha yake mapya, na kundi hili si wengi. Kundi la pili ni wanaume ambao wakienda kweye fursa wanazopata ndio wameenda wewe unakuwa sio level zake tena anakusahau, sasa kwa nini wewe usijiweke wa kwanza pia kama wao wanavyofanya?
Wanawake huwa wana ujinga fulani, anaweza acha kwenda kazini alikopata kisa kuogopa kuvuruga mahusiano na mwanaume wake, na mara nyingi huwa anakuja kukumbuka bora angeenda kuliko hayo yanayomkuta kwa wakati huo lakini anakuta kashachelewa. Kama huyo mwanaume ni wako nenda na ukifanikiwa rudi muendelee.
Ikitokea mwanaume kapata fursa labda ya kusoma au kazi mbali na mlipo na ikawa inawaweka mbali hawezi shindwa kwenda kisa kuwa mbali na wewe, hata kama anakupenda namna gani atajitahidi aende huku anakufikiria wewe ila kaenda.
Hapo kuna wanaume wa aina mbili, wakipata fursa kuna wanaokwenda na baadae kutafuta namna ya kukuweka kwenye hayo maisha yake mapya, na kundi hili si wengi. Kundi la pili ni wanaume ambao wakienda kweye fursa wanazopata ndio wameenda wewe unakuwa sio level zake tena anakusahau, sasa kwa nini wewe usijiweke wa kwanza pia kama wao wanavyofanya?
Wanawake huwa wana ujinga fulani, anaweza acha kwenda kazini alikopata kisa kuogopa kuvuruga mahusiano na mwanaume wake, na mara nyingi huwa anakuja kukumbuka bora angeenda kuliko hayo yanayomkuta kwa wakati huo lakini anakuta kashachelewa. Kama huyo mwanaume ni wako nenda na ukifanikiwa rudi muendelee.