Mwanamke ulie kwenye ndoa, mumeo akipatwa na tatizo la nguvu za kiume, ukiwa na uwezo wa kumtibu utamuhangaikia ama ukamuacha ateseke?

Mwanamke ulie kwenye ndoa, mumeo akipatwa na tatizo la nguvu za kiume, ukiwa na uwezo wa kumtibu utamuhangaikia ama ukamuacha ateseke?

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Imetokea somewhere jijini Dar es salaam, mwanamama mmoja in her 50s,mumewe kapatwa stroke. Mmama ana ana uwezo mkubwa tu which means kwamba anao uwezo wa kumuhangaikia mumewe apate tiba arudi kuwa Sawa lakini kamuacha mumewe kitandani anapigwa na vi benten.

What about u mwanamke? Wewe utamuacha mumeo au utamuhangaikia apone. Utajizuia hadi apone? Kiapo cha ndoa ni shida na raha.
 
Wanadamu mnapenda sana ku judge na kuyajua maisha ya wengine kuliko wanvojijua, wakati Prof Jay akiumwa mkewe aliigiza mumewe yuko ICU maneno aliyorushiwa bila kujua magumu anayopitia na mapenzi aliyonayo kwa mumewe sijui huwa mnataka mtu akifanya jambo awe anawareportia mjue leo nimefanya hiki, leo nimemuogesha mume wangu,

ilivokuja postiwa ile clip akiwa na hali mbaya kuliko wakiwa na mkewe woooote watz waligeuka kumpa hongera wakasahau walivomshutumu kwa kumwacha mumewe mahututi, ni kama hii ya kwako, ni sawa mumewe anaumwa anatakiwa kumhudumia kwaivo ukimuona nje tu anatabasamu usha judge kamuacha mumewe hamuhudumii.

Jifunzeni kufanya yenu msipende kuhukumu mambo ya ndani ya mtu msiyoyajua. Kwanza unaongelea tatizo la nguvu za kiume ama stroke
 
Imetokea somewhere jijini Dar es salaam, mwanamama mmoja in her 50s,mumewe kapatwa stroke. Mmama ana ana uwezo mkubwa tu which means kwamba anao uwezo wa kumuhangaikia mumewe apate tiba arudi kuwa Sawa lakini kamuacha mumewe kitandani anapigwa na vi benten.

What about u mwanamke? Wewe utamuacha mumeo au utamuhangaikia apone. Utajizuia hadi apone? Kiapo cha ndoa ni shida na raha.
Miaka 50 bado anahangaika na wanaume!!!
Angeumalizia uzee wake kwa kumlea mumewe na watoto.
 
Heeeh jamani!! Muacheni mama wa watu aenjoy.
Ni vile tunaishi kwenye dunia iliyojaa laana but mwanamke wa miaka 50 kuvuliwa chupi randomly na vijana masela mtaani huku ana watoto umri wa wanaomvua nguo siyo jambo zuri hata kidogo.

Kinamama wa zamani walijua kujiheshimu,mama yangu aliachwa mjane aged 28 mwaka 1986 but leo nazeeka siijui scandal yake yoyote hata kwa kuhisi but mama wa leo mume anazikwa mwaka kesho ana mtoto mwaka unaofuata ana mtoto yaani hawajiheshimu kabisa.
 
Ni vile tunaishi kwenye dunia iliyojaa laana but mwanamke wa miaka 50 kuvuliwa chupi randomly na vijana masela mtaani huku ana watoto umri wa wanaomvua nguo siyo jambo zuri hata kidogo.

Kinamama wa zamani walijua kujiheshimu,mama yangu aliachwa mjane aged 28 mwaka 1986 but leo nazeeka siijui scandal yake yoyote hata kwa kuhisi but mama wa leo mume anazikwa mwaka kesho ana mtoto mwaka unaofuata ana mtoto yaani hawajiheshimu kabisa.
Social networks.... Wazee wa miaka 60 wanatafuta vibinti vya elf 2 vya kwenda navyo taratibu na vijawa wanatafuta mashangazi ya kwendanayo.. 😂
 
Social networks.... Wazee wa miaka 60 wanatafuta vibinti vya elf 2 vya kwenda navyo taratibu na vijawa wanatafuta mashangazi ya kwendanayo.. 😂
Laana tupu.

Ndiyo wakaona wapunguze ukali wa maneno waite ”mshangazi sijui mishangazi” huku mabinti wakiitwa “watoto wa 2000s”,hili jambo halina afya kabisa kimaadili kwa sababu serikali imelala kwa kuacha baadhi ya miziki ipenyeze kwenye jamii maneno fulani fulani yanayohamasisha ngono vijana kwa wamama watu wazima na mabinti kwa wazee watu wazima.
 
Ni vile tunaishi kwenye dunia iliyojaa laana but mwanamke wa miaka 50 kuvuliwa chupi randomly na vijana masela mtaani huku ana watoto umri wa wanaomvua nguo siyo jambo zuri hata kidogo.

Kinamama wa zamani walijua kujiheshimu,mama yangu aliachwa mjane aged 28 mwaka 1986 but leo nazeeka siijui scandal yake yoyote hata kwa kuhisi but mama wa leo mume anazikwa mwaka kesho ana mtoto mwaka unaofuata ana mtoto yaani hawajiheshimu kabisa.
Mama zetu Mungu awabariki sana. Mimi maishani mwangu sijawahi sikia skendo ya mama hata mara moja.
 
Laana tupu.

Ndiyo wakaona wapunguze ukali wa maneno waite ”mshangazi sijui mishangazi” huku mabinti wakiitwa “watoto wa 2000s”,hili jambo halina afya kabisa kimaadili kwa sababu serikali imelala kwa kuacha baadhi ya miziki ipenyeze kwenye jamii maneno fulani fulani yanayohamasisha ngono vijana kwa wamama watu wazima na mabinti kwa wazee watu wazima.
Upo sahihi kabisa mkuu🙏🏽
Kuna huu wimbo wa “mtoto kautaka”
Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom