mwanamke unahitaji nini kingine ikiwa unahudumiwa kila kitu na mpenzi wako kuanzia chakula, malazi hadi mavazi?

Sasa asipojikwamua kiuchumi itakuaje ikitokea wewe haupo tena, ikitokea umepata maradhi ya kudumu na yakakukalisha,itakuaje ikitokea umefariki ?

Hivyo ni lazima ajifunze kujitafutia
Kama kwenye avatar ni wewe I love chi ghafula afu hom kuna jeep LA 2045 hata silitumii naomba nikupe kama zawad mana niliambiwa nimpe nitaempenda akitokea I m serious I nakupenda sana saaana nikubali ukinikataa hata mungu atakuchukia mana tumeambiwa mpende jiran ako usisahau jeep new model ninalo
 
Wanaume wapare,waha na watanga huwa wabinafsi hawadumii wapenzi wao utasikia tu umependeza babe,

Wanaume wote wanatokea Kanda ya ziwa hawa ndo wanaume

WANAUME WOTE MNAO TOKEA KANDA YA ZIWAAAAAA NAWASALIMIAAA SALAMA ALEKO,MNAPENDWA NA MIMI
Nakupenda pia πŸ˜‚πŸ˜‹
 
I love you too mpenzi wangu β™₯️ nimepewa wewe
 
🀣🀣
 
Inasadikika upendo wa kweli ni kujari,. Kabla pingu za ndoa hazijakufunga jiulize mkeo angekuwa na wewe kama ungelikuwa chini.. Poor Brain
 
Bila mkuyenge barabara haelewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…