IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Zipo shida zenye kueleweka lkn sio hizo mlizozizoea kuanza nazo pindi tu mahusiano yanapoanza...πππhuwezi kujua labda anakupima uwezo wako kiuchumiπ
anha kumbe,,,,ngoja nijaribu kulegeza kamba labda nina fungu nimeandaliwa najicheleweshea bure π πSio rahis . Mwanaume akikugonga tu lazima akupe hela hata kabla ya kutoka location.
kama zipi hizo,,,kusuka au Kwani unakua huoni kama nywele zake zimefumukaπππZipo shida zenye kueleweka lkn sio hizo mlizozizoea kuanza nazo pindi tu mahusiano yanapoanza...πππ
Moja wapo hiyo kwani hapo mwanzo ulikua ukitoa wapi hiyo hela ya kusukaπππkama zipi hizo,,,kusuka au Kwani unakua huoni kama nywele zake zimefumukaπππ
Huoni kakimbiaπππwe usiniambie π³π³
Hao ni bora aje achukue geto tu mmalizane hawaishiwagi shida hao malaya mwanamke aliyekuelew sera zako hawezi kukutangazia shida kuna wanaume maboya tu hawajiongezi kazi kutuma tuma pesaMwanamke anayeomba pesa kwa jamaa ake ni kosa kubwa
Wewe dada ila umeweka picha ya mwanaume...πππumekurupuka boss
acheni ubahiri shauri yenu πMoja wapo hiyo kwani hapo mwanzo ulikua ukitoa wapi hiyo hela ya kusukaπππ
sidhani kama ni kweli,,,,anyway it is non of my businesses ππHuoni kakimbiaπππ
mapenzi ya wiki niliambiwa nimjengee nyumba alafu nimpeleke home then anizalie π π π kwani aliniona tenaaaZipo shida zenye kueleweka lkn sio hizo mlizozizoea kuanza nazo pindi tu mahusiano yanapoanza...πππ
Ebu google basi hata hilo jina uone kama nila kike, usikurupuke mkuuHuoni kakimbiaπππ
Wewe Shangazi, asiejua nani πWewe dada ila umeweka picha ya mwanaume...πππ
Miezi ile ile ambayo utakuwa tayari kutoa mzigohivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile π€
ahahahhaπππππmapenzi ya wiki niliambiwa nimjengee nyumba alafu nimpeleke home then anizalie π π π kwani aliniona tenaaa
Anatakiwa aombe lini Sasa.... Ila aendelee kujikausha mpaka lini??Mwanamke anayeomba pesa kwa jamaa ake ni kosa kubwa
nyie mbona mnatanguliza mzigo mbele na sio mapenzi ya dhatiπMiezi ile ile ambayo utakuwa tayari kutoa mzigo
ILa kwakwel siku hiz hali ni mbaya sanaanha kumbe,,,,ngoja nijaribu kulegeza kamba labda nina fungu nimeandaliwa najicheleweshea bure π π