Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Wakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
umeongea ukweli ciccy😊😂😂😂
 
Wakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
ndio maana tuna date na vitoto vya chuo havina ujinga wa invoice kubwa kubwa, vyenyewe vikiomba hela nyingi 50
 
Sikatai ila tatizo ni pale umeombwa mbususu basi ndio ina trigger mfululizo wa invoices...yan iktajwa mbususu tuuuu shida hiz hapa hapo ndio mnapokoseaga timing
huyo kweli anakua anakosea,,,lakini kama unampenda ni wajibu wako kumsaidia
 
Sio biashara ni sehemu ya majukumuyake kunitunza Kwa kadri atavoweza sio lazima anipe kilakitu na sidhani km kunawanawake pia wanaomba kilakitu
kabla hajakuja ulikuwa unajitunza vipi ? mpe kwanza mtu mfurahishe akielewa show atakupa tu hela
 
Back
Top Bottom