Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Wanapenda maisha sio level zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta zakohivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile [emoji848]
Kama sio kitu Cha maana mbona kutwa kulalamika nyuzi km zote leteni nyuzi za kilimo SasaSasa uchi wa Mwanamke unaufananisha na PESA?
Sasa walio hawana akili wapo wengi kuliko wenye akiliInaumaje 20K Kwa mtu naempenda na always ananisupport nitakuwa sinaakili backup zimetengenezwa na nyinyi
huko ni kutokuaminiana sasa😃Ni kweli, mwanaume ni lazima awajibike kwa mwanamke wake kwa kila kitu.. ila siku hizi mmekuwa matapeli sio wapenzi tena 😅😅😅
Una damu ya udangaji ndio maana, unahusishaje pesa na mahusiano, yaani wewe kwa mwanaume umefata kuchukua pesa?basi tunatofautiana mimi mtu akiwa ananipanipa hela ndo najua ananipenda [emoji23][emoji23]
And the vicious cycle begins. Unatoa hela unanunuliwa unatumika unamwagwa na wenzako wakatumike.Hivi nani atatoa mbususu yake ovyo tu [emoji23][emoji23] sikuhizi Kwa wanaume wenyew Hawa matapeli
hadi niwe nakufeel, na feelings zenyewe sikuizi bila hela hazipo sasa ndo tatizo lenyewe😂Kwani wee huwezi kugegedwa just for fun mpaka uwaze hela? Yaani utombwe tuu becoz una nyege hilo haliwezekani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama sio kitu Cha maana mbona kutwa kulalamika nyuzi km zote leteni nyuzi za kilimo Sasa
Acha kujidanganya hamna mwanamke hapendi hela,huna hela hamu zinatoka wapi?Una damu ya udangaji ndio maana, unahusishaje pesa na mahusiano, yaani wewe kwa mwanaume umefata kuchukua pesa?
Mimi uwe unapenda kuniomba omba hela siku nakupa namba ya mshikaji wangu na yeye anataka huduma ukampe akupe hela.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Umasikini ni kitu kibaya sana. Yaani mtu anawekeza mahusiano sababu ya pesa utasema anatania ila ndio yupo serious.Siku akiishiwa hatakuwa anakupenda sio?
na ndomana nimesema kuombana hela,,ningekua sina za kwangu ningesema kuomba hela😎Tafuta zako
Aisee kumbe mitazamo ipo hiviHivi nani atatoa mbususu yake ovyo tu 😂😂 sikuhizi Kwa wanaume wenyew Hawa matapeli
Inawezekana pia lakini Sina hakika sana kama ni anakuwa muuzaji kwakweliSo maana yake anauza, sasa mbona mkiitwa malaya mnakarisika? Hapo anakuwa na tofauti gani na wale wanaopanga foleni kujiuza miili?
Tena bora hata wale mtaongea vizuri huyu unaongea nae kama anakulaumu.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
umeenda mbali sana my brother,,, anyway ndo mtazamo wako lakini sikupingi😎Una damu ya udangaji ndio maana, unahusishaje pesa na mahusiano, yaani wewe kwa mwanaume umefata kuchukua pesa?
Mimi uwe unapenda kuniomba omba hela siku nakupa namba ya mshikaji wangu na yeye anataka huduma ukampe akupe hela.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wewe unazani shida unazo wewe pekee yako, yeye pia shida anazo na wazazi wake pia.sasa haitakiwi iwe hivyo,,halafu mbona kitu kidogo tu hicho usipompa atakufikiria vibaya kwamba umemuona mdangaji wakati mwenzio ana shida kweli
Kumbe mnakuja na malengo mahsusi?huwezi kujua labda anakupima uwezo wako kiuchumi😊