Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizinga vya kutosha kila inapoitwa siku mpya hata inafika wakati hatuvai tukapendeza ila nyinyi sasa😂😂😂 kila fashion mnapita nayo sio ya nywele magari nguo hata simu na nyumba kwa wadangaji konkodi...Sijui kwakweli ninachojua mwanaume awajibike Kwa mwanamke wake
Kwani mnaombwaga sh ngapi mnazolalamika hivo??
mtu kama unampenda na una malengo nae huwezi kushindwa kumsaidia kama uwezo unaondio ivyo sasa
Mimi kuna rafiki yangu alimtongoza mdada, akaombwa vocha ya tsh 500, jamaa akasema sawa ila akamwambia mdada aende akachukue ghetto iyo vocha, mdada hakwenda ghetto, na rafiki yangu hakutuma iyo vocha ya 500 Aaliyyah Leejay49Sijui kwakweli ninachojua mwanaume awajibike Kwa mwanamke wake
Kwani mnaombwaga sh ngapi mnazolalamika hivo??
Wewe sema usemavyo Ila ndivyo ilivyo.Na ndio maana wengi wenu mnaishia kuwa single mother na kushindwa hata kutimiza hayo malengo yenu kwa wakati kwa sababu za ujuaji na dharau..zilizojaa kwenye vichwa vyenu na hatima yake mnazalishwa na vijana wahovyo kabisa...
Kwani wee huwezi kugegedwa just for fun mpaka uwaze hela? Yaani utombwe tuu becoz una nyege hilo haliwezekani?hapana,,, ukinigonga na kuniacha na hela yako sijala
Ni kweli, mwanaume ni lazima awajibike kwa mwanamke wake kwa kila kitu.. ila siku hizi mmekuwa matapeli sio wapenzi tena 😅😅😅mtu kama unampenda na una malengo nae huwezi kushindwa kumsaidia kama uwezo unao
Anauliza utadhani mzee kikongwe.wana kichaka chao cha kujifichia.
Ety kwahiyo mimi nimepata shida huwezi nisaidia hadi uwe umelala na mm [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
hahaahha😂😂😂😂😂, hao wanakua wanazingua kwakweli..lakini kwenye upendo hivyo vyote sio kitu kama ni ndani ya uwezo wako😊Sasa nyie shida ghafka bin vuu rent kwisha, gas imeisha, mara sijui nina hamu ya pizza
😂😂🙌
Tatizo linaanza hapo kwa mwanamke wake, maana nyie mna backup kibao so kidume huna uhakika upo mwenyewe.Sijui kwakweli ninachojua mwanaume awajibike Kwa mwanamke wake
Kwani mnaombwaga sh ngapi mnazolalamika hivo??
Ni ukweli lakini na huwa mnajutia sana hapo baadae unapokuta uliemkataa ameendelea na yupo mbali sana na maisha uliyokua ukimkadiria kichwani mwako..Wewe sema usemavyo Ila ndivyo ilivyo.
Kwani unadhani vipi nje ya uwezoo basi tuu tunakupima mwanamke huyu anaweza kutulia au ndio wakutomber na kusepahahaahha😂😂😂😂😂, hao wanakua wanazingua kwakweli..lakini kwenye upendo hivyo vyote sio kitu kama ni ndani ya uwezo wako😊
yani kumbe vizinga vyenyewe mnavyolialia ndo kama hivyo😃,, mwambie jamaa yako atafute hela kama anazo basi aache ubahiri 😂😂
Sasa uchi wa Mwanamke unaufananisha na PESA?😂😂🙌
Mambo yamebadilika sana vijana mmekuwa wa ovyo kujisifu umalaya kutongoza Ovyo kudate na wanawake wa Kila namna ndipo hapo mabint nao hawawazingatii wanawapiga vizinga vya kijinga Ili either mpate penz Kwa gharama au lah muondoke
So maana yake anauza, sasa mbona mkiitwa malaya mnakarisika? Hapo anakuwa na tofauti gani na wale wanaopanga foleni kujiuza miili?Lakini mbususu mnaomba siku hiyohiyo [emoji23][emoji23]
Inaumaje 20K Kwa mtu naempenda na always ananisupport nitakuwa sinaakili backup zimetengenezwa na nyinyiTatizo linaanza hapo kwa mwanamke wake, maana nyie mna backup kibao so kidume huna uhakika upo mwenyewe.
Wee ebu jaribu kumpa kidume buku 20 uone inavyouma
Na ndio maana siku hizi mahusiano imekuwa bahati nasibu sana kwenu. Wachache sana wanaolewa na kuwa na familia zao decent.Wakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
mpaka hapo nimeshakuelewa vizuri sana,,, basi sawa 🤗Sitafuti ambae nina hisia nae, natafuta mwenye hisia na mm.