Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Chunguza hizo couple,zimejaa majuto hamna la zaidi...kwanza hawaaminiani.....yaani huwezi kumuacha mkeo na rafiki yako uende chooni kwa amani,au huwezi muacha mumeo na rafiki yako uende chooni kwa amani unakuwa fastafasta maana unajua muda wowote meza inapinduliwa si unajua Tena Jasiri haachi asili.......
Matokeo yake mkioana no outing ni kuzaa tu na kulea
 
Chunguza hizo couple,zimejaa majuto hamna la zaidi...kwanza hawaaminiani.....yaani huwezi kumuacha mkeo na rafiki yako uende chooni kwa amani,au huwezi muacha mumeo na rafiki yako uende chooni kwa amani unakuwa fastafasta maana unajua muda wowote meza inapinduliwa si unajua Tena Jasiri haachi asili.......
Matokeo yake mkioana no outing ni kuzaa tu na kulea
😂😂😂😂 kuna ukweli hapa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom