masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hamna mtu ulimuahid kumuoa ukamuacha?
Speaking from experience
Speaking from experience
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ikama umejikatia tamaa unasubir mke wako aondoke tuumecheka nn
toa ushauri aisee, siku ngapi utavumilia nguvu zimekata
Period tutoa ushauri aisee, siku ngapi utavumilia nguvu zimekata
Sijawai kua na tatzo la kudindaTendo la ndoa ni kwaajili ya kutafuta watoto tu.
Vipi kwani mmeshajiandaa kuwa Wazazi? 🤗
Anyways,
Tendo la ndoa linaambatana na Utimamu wa akili.
Kama hauna Utulivu wa Akili na Mwili, itakuwa vigumu kumudu hilo Jukumu.
Chukua Likizo kidogo ofisini ama kwenye majukumu yako, then muende na shemeji sehemu tulivu nje ya makazi yenu.
Nendeni mkalale hotelini japo Siku mbili tatu, huyo Jogoo wako akishindwa kupanda mtungi basi itakuwa una tatizo lingine Mkuu.
Yaan najiuliza kwan vip tena nimeaibikaThe rash of stealing without being caught . Vs having it at home is not the same .
Vya wizi vitamu sana .
Ana watotot wangapiKuna mmoja hapa nilimuuliza unawezaje kukaa muda mrefu bila kupewa tendo la ndoa na mume wako na we bado unachemka? Akanijibu ameacha kufikiria habari za kufanya tendo la ndoa na mwili wake umezoea hali hiyo ya ukame wa kukosa tendo la ndoa. Nusura nimuombe nikamzimue ila namheshimu ni mke wa rafiki yangu, wametengana na hana wa kumzimua mwili wake uchangamke ung'are
mkono nampiga vidoleKma haisimami Peleka hata mkono
Kwaiyo haiwezekanYaani niende kwetu kisa mume hanipi tendo la ndoa?😂😂😂😂sijui au labda vile hayajanikuta.
Kama huna kazi inaonesha pia huna kipato.Sijawai kua na tatzo la kudinda
sina kqzi mkuu sasa mawazo ni ya nn
hapana mkuu sina kazi ina hela ya kula haikosiKama huna kazi inaonesha pia huna kipato.
Unawezaje Kuoa kama huna kazi/Kipato?
Ama wewe unaishi nyumba ya familia na unakaa na Mkeo Kwenu?
Kwa upande wangu siwezi kuondoka kisa kukosa duduKwaiyo haiwezekan
Hizo hela ulizipata wapi, obviously ni kupitia Kazi ambayo pengine umeacha/Uliachishwa.hapana mkuu sina kazi ina hela ya kula haikosi
Naishi kwangu mwenyewe
Sio rahisi kuishi kwenye Ndoa na Mwanaume ambaye hakupi haki ya Ndoa unless una Kidumu Chako pembeni kinachotimiza hilo hitaji.Yaani niende kwetu kisa mume hanipi tendo la ndoa?😂😂😂😂sijui au labda vile hayajanikuta.
ana watoto watano, huyu mdogo ana miaka mitatu, mume kajitenga nae na hampu huduma ya tendo la ndoa ni muda mrefu sasa, halafu mke namuuliza habari za kupeana tendo la ndoa na mume wake anajibu mwili wake hauwaki kutamani tendo hilo. Nusura nimuombe nikampashe joto mwili wake uchangmke naona kama anaufubazaa asije akapata matatizo ya kisaikolojia na homoni zake za kike kudumaa kuacha kufanya kazi zake za kibayolojiaAna watotot wangapi
sawaHizo hela ulizipata wapi, obviously ni kupitia Kazi ambayo pengine umeacha/Uliachishwa.
Ukiwa na akiba Benki let's say 5M na huna Hela inaingia as a Man with family lazima kichwa kikuume kwamba fedha hiyo ikiisha nitaishije na mtoto wa watu humu ndani maana Kila Siku una draw kwaajili ya kutumia.
Nashauri mchukue huyo Shemeji, nenda naye sehemu yenye Utulivu iwe ni hotel hata ya 35K, kaeni huko walau Siku 2.
Zimeni simu zenu, mkae kimfurahia wakati wenu pamoja.
Ukiona hiyo shida bado inaendelea basi itakuwa umetengenezwa na wale mabinti uliokuwa unawamega kisera huku ukiwahaidi utawaoa halafu ukawaacha Solemba 🙌