Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

Sio rahisi kuishi kwenye Ndoa na Mwanaume ambaye hakupi haki ya Ndoa unless una Kidumu Chako pembeni kinachokitimizia hilo hitaji.

Ama vinginevyo umri wako uwe umesogea.

Ukiwa bado una nguvu, na unalishwa na kutunzwa vizuri na Mumeo, huwezi ukavumilia kukosa tendo unless uwe na alternative
sasa mamaa huu umekaa kiuwazi zaidi
 
Kuna mmoja hapa nilimuuliza unawezaje kukaa muda mrefu bila kupewa tendo la ndoa na mume wako na we bado unachemka? Akanijibu ameacha kufikiria habari za kufanya tendo la ndoa na mwili wake umezoea hali hiyo ya ukame wa kukosa tendo la ndoa. Nusura nimuombe nikamzimue ila namheshimu ni mke wa rafiki yangu, wametengana na hana wa kumzimua mwili wake uchangamke ung'are
Anakudanganya. Kwa akili zako ulitaka akwambie huwa kuna njemba inaenda kumkaza? Ishini nao kwa akili
 
Back
Top Bottom