Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Teh teh teh pole sana mkuu!! Hawa watu wapende ila wakijua umewapenda tu, hamna rangi utaacha ona.Kweli mkuu wanawake wa ajabu sana...kuna boya mmoja alitaka kuniendesha sana, siku nilipojifunza ukauzu ndo ukawa mwanzo wa maisha mapya!!
Jitu nalipenda, nipo nalo kwenye mahusiano nataka niliod..alafu linaniambia halijawahi kunipenda kihivyo..kumbafu sana [emoji849][emoji849]
asante kwa kunielewa sana.
Pole aisee, ila una roho ngumu mimi sijali maneno ya watu kuhusu ndoa, ni bora usiolewe kuliko hizi habari
KweliAmini! amin! Nakuambia mahusiano ambayo yameanzishwa na mwanamke (mwanamke kuanza kuvutiwa na mwanamme/mwanamke kujitongozesha kwa mwanamme) yanadumu 90% kuliko Yale ya kawaida tuliyozoea ya sisi wanaume kuwatongoza wao!
So, Mimi nasuburiaga wajilete wao..na sijawahi juta katika mbinu yangu hii
Hiyo 90% ya wanawake kwenye ndoa umeipataje babu. Mi kwa uzoefu wangu wanaume zaidi ya hiyo 90% tuliopo kwenye ndoa ndio tunawasumbua wakina mama na wanatuvumilia sasa kama wangekuwa hawana upendo si wangedai talaka wajiendee zao kwa wanaowapenda? Fanya research yako tena.
Labda hujasoma vizuri andiko langu. nimeomba ushauri wa nini nifanye ili kufurahia ndoa yangu? hakuna sehemu nimesema ninataka kuondoka wala talaka.Wewe toka mwanzo uliona kuna shida kwa nini hukusimama pembeni, uliligundia hili mapema sana hata kabla ya ndoa, ukaomba ushauri nk. Kwa nini ulisonga mbele wakati moyo unasema hapana. Sasa umeingia kwenye ndoa na it seems mna watoto ndo unaona kama safari unataka iishie hapa. Its Okey umejiandaa kikamilifu kwa hatua inayofuata? Unaweza kusimamia ukweli na kuitafuta talaka mahakamani na kupoteza sehemu kubwa ya stahili zako, unajua ni kiasi gani utavuluga ustawi na maisha ya mwenzi wako sababu ya ubinafsi wako. Wakati mwingine huwezi pata kila kitu maishani, kinachokusumbua ni umimi na ubinafsi ulio pindukia. Unajitizama wewe tu, hufikili kuhusu watoto,mume,majirani, wazazi pande zote 2 na marafiki. Huyo mwanaume umemuandaa kisaikolojia nadhani utakuwa hujamiandaa kwa sababu hujali na unajijali wewe tu. Haya kuoanga ni kuchagua, Mungu amtie nguvu jamaa atapata mwingine, hakuna linalotokea bila sababu
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
Hahhaha kama nakuona na mbaba wakosasa ww ulichobug toka mwanzon ulikua una sita sita huamni km unampenda..ukajipa moyo uishi naye..
mm niliwah kuwa na mbaba m1 jaman alinipendaaa uwii mm hapo simpendi.. alikua anakula vby huyo anajilamba mavidole.. anabeua beua tu kwenye mlo..nikasema nafanyanye! alipoleta habari za kunioa nikamwambia sipo tayar bado.. aliumia lakini nilijiponya na nafsi yangu.. alikua anavalia mkanda wa surual kifuani inahu?ila alikua njema balaa.. imagine unamwacha mtu anaekusaidia kwa kila kituuu nilikua nakula had ada yy anafix.. nikamfyekelea mbali..ila maajabu ali igharamia sendoff yote[emoji4][emoji4] abarikiwe huko alipo[emoji4][emoji4]!pole mwaya pambana...
Ohh my god she doesn't even know what she want..Labda hujasoma vizuri andiko langu. nimeomba ushauri wa nini nifanye ili kufurahia ndoa yangu? hakuna sehemu nimesema ninataka kuondoka wala talaka.
Tatizo tukionana nae huwa ananiuliza maswali anapenda kujua nafanya nini,Nafikiria kufanya nini au ningependa kufanya nini maswali kama hayo unajikuta umeshamwambia shida zako hahaha
yaani ninatamani pia kujua wanawezaje? haswa unapokua na mtu anaeweza kukuvumilia, kukujali na kuchukuliana na wewe kwa kila hali, lakini wewe hisia zako za mapenzi wala hazishtukiSio wote huwa wanaweza kujinasua haswa unapokuta mwanaume anakupenda na kukujali kwelikweli. Huwa najiuliza wale wanaojifunza kupenda wanawezaje?!!!!!
Hahhaha kama nakuona na mbaba wako
[emoji23][emoji23][emoji23]alikua anavaa mayenu[emoji16][emoji16] yan vurugu tupu.. hahhahaa km papaa
... ila alinisaidia sana hasa pande za kusoma..lol
Mmmh.Wengi pesa kwanza.Wewe ni tofauti?alafu sijui kwann huwa mnapenda kugeneralize kuwa kila mwanamke anavutika na pesa.. sio kweli.. kukata hisia kwa mwanaume wako kunachangia vitu vingi jaman.. sio pesa tu
Mimi nakuangalia tu unavyo jipa moyo teh teh teh eti sina mpango wa kuwa nae aiseee.
We ngoja siku akipotea ndio utaelewa kama huna mpango nae. Au siku akipata demu mkali kuliko wewe alafu akukaushie kabisa ndio akili itakukaa sawa.
Sasa hivi endelea kujipa moyo kwamba huna mpango nae.
yaani ninatamani pia kujua wanawezaje? haswa unapokua na mtu anaeweza kukuvumilia, kukujali na kuchukuliana na wewe kwa kila hali, lakini wewe hisia zako za mapenzi wala hazishtuki