Mwanamke usisubiri mwanaume muovu aje abadilike, kimbia mbio

Mwanamke usisubiri mwanaume muovu aje abadilike, kimbia mbio

jannelle

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2020
Posts
824
Reaction score
1,581
Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER

Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.

We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
 

Attachments

  • JamiiForums.jpeg
    JamiiForums.jpeg
    109.4 KB · Views: 3
Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Umeongea Ukweli mtupu 😅
 
Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Jihudumieni wenyewe hamtateswa kamwe
 
Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER

Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.

We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Tafuta bwana, upunguze stress
 
Back
Top Bottom