Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Nmesikia ila sijamuelewa😂😭NoncChalant umeisikia hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmesikia ila sijamuelewa😂😭NoncChalant umeisikia hii?
Tutayasikia mengi hakika 😆!Nmesikia ila sijamuelewa😂😭
Tutayasikia mengi hakik
Mleta mada amesema ya kwamba Mwanamke usiishi na Mwanaume negative ukitarajia one day atakuja kubadirika - Utajuta!Kasema wanaume mbadilike ama nini
Wanaume wote ni wale wale TU kila mmoja ana weakness yake inadepend mwanamke ata handle vipi situationMleta mada amesema ya kwamba Mwanamke usiishi na Mwanaume negative ukitarajia one day atakuja kubadirika - Utajuta!
This is it! 💔😆
Mimi?Wanaume wote ni wale wale TU kila mmoja ana weakness yake inadepend mwanamke ata handle vipi situation
Vipi we upo negative kwa namna ipi?!
Husband material kabisa,,🙃Mimi?
Negative yangu kubwa ni kwamba kila nikijaribu kupika pilau huwa inatoka bokoboko.
Kwenye kupika, naweza nunua spices, lakini matokeo ya pishi huwa yakushangaza sana – kitu kingine ambacho hata hakina jina.
lakini bado najivunia hivyo hivyo hali inayosababisha nionekane negative!
kumbe hiyo ni sifa nzuri? 😆!Husband material kabisa,,🙃
1.Awe responsible kuhakikisha anahudumiakumbe hiyo ni sifa nzuri? 😆!
Labda nijuze zaidi, Hivi husband material ana sifa zipi nyingine tukiacha hii ya kupika pilau bokoboko?
Vipi kuhusu kushirikiana ili hizo huduma ziwe matokeo ya kushirikiana kwenu instead of upande mmoja tu kutoa huduma?1.Awe responsible kuhakikisha anahudumia.
"Wanawake wengine wapate wivu" - i like that!2. Make other women jealous kwa kumpenda mke zaidi
Hapo mnaweza kushirikiana ila sio jambo rahisi!!Vipi kuhusu kushirikiana ili hizo huduma ziwe matokeo ya kushirikiana kwenu instead of upande mmoja tu kutoa huduma?
Hakika na unawafanya wanamwonea wivu mkeo kwa kukupata🤭"Wanawake wengine wapate wivu" - i like that!
Inamaanisha unatafuta mtu ambaye atakufanya ujisikie maalum mbele ya wanawake wengine?
Mwanamke ukitaka usiwe mtumwa kataa ndoa.Mnakimbilia waliozipata kinachowakuta ni kuwa mtumwa
Hakuna kizuri ambacho ni rahisi kufanyika 😇😇Hapo mnaweza kushirikiana ila sio jambo rahisi!!
I like that - Nitafanya hii kwa mtu fulani 😜Hakika na unawafanya wanamwonea wivu mkeo kwa kukupata🤭
Mkioana ni rahisi kuliko kwenye relationshipHakuna kizuri ambacho ni rahisi kufanyika 😇😇
😆Unataka kuleta mapenzi ya video?I like that - Nitafanya hii kwa mtu fulani 😜
Kizazi Cha 1990, kizazi cha kuangalia tamthiliyaaaa za kikorea, alafu nacho kinataka mapenzi ya hivohivo.Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Kama kweli vileWansaikolojia wameshaprove wanawake wengi wao wanawapenda bad boys/playboys.So tatizo mara nyingi linaanzia kwenye machaguo yenu maana wengi wenu hamuwapendi nice/good guy, huku mkijipa moyo mtambadilisha bad boys.
Bila kusahau ule wimbo wenu maarufu "bora kulia kwenye V8,kuliko kucheka kwenye baiskeli ".