Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamma ubinafsi hapo....ni nyie kujikwamua kutoka kwenye mateso. Ukiweza jihudumia hamma kidume atakutesa🤦🏾 Mmeanza ubinafsi sasa
Why not...tafuta bwana ugegedwe weyeMe wakutafuta bwana?? Like seriously 😳
Shem anafaidiMe sitafuti yupo tayari labda akiota mkia naukata
So tukusubiri uje ubadilike eti ee??Eti "kimbia" na unakimbia unaenda wapi!?
Kwa akili ya wanawake huruka kutoka kwenye frying pan na kuingia kwenye moto🚮🚮🚮🚮🚮
Itakuwa huyo mwamba hakufikishi.Mwanamke usisubiri mwanaume muovu aje abadilike, kimbia mbio.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Mkiwa na pesa nyie ni wabinafsi becoz ur first thot is to get rid of any man in ur life.Kabisaaa, tukiwa na pesa mnatuita waninafsi na wajuaji🙄 tuwaelewaje
Muhimu kupewa chance no one owns a mbususu its just ur turn😜Kutesa kwa zamu, labda nawe siku yako itafika🤣🤣
Jocking