Umeongea Ukweli mtupu 😅Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Jihudumieni wenyewe hamtateswa kamweItakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Kwamba masikini ndio wanaishi peponi kwenye ndoa?Mnakimbilia waliozipata kinachowakuta ni kuwa mtumwa
Tafuta bwana, upunguze stressItakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Kama hii ndio kauli mbiu ya kwenda nayo ndani ya mwaka huu basi tutarajie ongezeko kubwa la singo mazas.😅tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
wanaoshirikiana kwenye kutafuta ndio mambo atleast yanakuwa vizuri. Sijamaanisha maskiniKwamba masikini ndio wanaishi peponi kwenye ndoa?
Aaah wapi, haina formula hiyo.wanaoshirikiana kwenye kutafuta ndio mambo atleast yanakuwa vizuri. Sijamaanisha maskini