Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Mbona kama hasira zako za kuachwa umezimalizia kwa mwenzio!!!

Muombe Mungu nawe utampata wako, pesa ina nafasi yake ila kamwe haiwezi kuziba ombwe la mapenzi.
Alitia hasira coz anadanga tena kwa binam wa mumewe il amalizie kijumba chake amkimbie mumewe then ananishaur nilazimishe ndoa nisikopendwa.

Yes pesa haiwez kuwa mpenz ila mtu ukiachwa unatakiwa ukubali kuachika maisha yasonge.
 
Tuombe tu Mungu. Kuishi mwenyewe ni stress zisizo na mwisho. Hata kama utapata wa kukupa mbususa Ila utafika mahali utahitaji faraja. Yakiwa mengi ni heri uwe na pa kuegemea. Kuwa na WA kumwambia changamoto zako na faraja na matumaini yako ni amani mno. Mimi nitaoa. Ndio changamoto zipo ila namini Mungu atanipitisha nifike uzee mwema na mke na watoto tutakao pewa.
Ni kweli kabisa usemavyo mkuu ila mim siko tayar kuolewa na nisiyempenda.

Bahati mbaya niliyempenda kaona simfai sasa nafanyaje mkuu kama sio kuendelea na maisha mpaka pale Mungu atakapoamua tofauti?
 
Hauna adabu.
Unaujuaji.
Unajiona unaweza.
Unadhani umejitosheleza.
Hauna utii.
Halafu define kwanza u feminist ni nini then ndo uje na list ua hayo mazaifu yangu kisha umalizie na mifano ya kusapot hizo shutuma zako kwangu.
 
Ni kweli kabisa usemavyo mkuu ila mim siko tayar kuolewa na nisiyempenda.

Bahati mbaya niliyempenda kaona simfai sasa nafanyaje mkuu kama sio kuendelea na maisha mpaka pale Mungu atakapoamua tofauti?
Usifunge mlango. Omba mno. Hata sisi wanawake wa kuoa hatuwaoni. Duniani kuna wanawake wengi Ila sio wote ni wake na wamama sahihi kwa watoto. Ukifika muda wa kuoa ndio unaona hilo pengo. Ni kubwa mno. Inaweza angaza bila kuona mwenye hofu ya Mungu na mwenye uwezo wa kukushauri huku akijua nafasi yake. Usikate tamaa. Sijakata Japo wengi ni maslahi.
 
Usifunge mlango. Omba mno. Hata sisi wanawake wa kuoa hatuwaoni. Duniani kuna wanawake wengi Ila sio wote ni wake na wamama sahihi kwa watoto. Ukifika muda wa kuoa ndio unaona hilo pengo. Ni kubwa mno. Inaweza angaza bila kuona mwenye hofu ya Mungu na mwenye uwezo wa kukushauri huku akijua nafasi yake. Usikate tamaa. Sijakata Japo wengi ni maslahi.
I know mkuu na I was ready to be this rare gem to him but I guess I wasnt good enough for him.

May God grant your desire
 
I know mkuu na I was ready to be this rare gem to him but I guess I wasnt good enough for him.

May God grant your desire
You were ready. You..not God. Huwa Kuna wakati tunasahau sisi tumekuja kufungua kitabu kilichokwisha andikwa. Turudi kwa mwandishi tumuulize njia ni ipi? Tumwambie tumepotea njia mbele ni Giza. Tunahitaji mwanga.
 
Salaam.

October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.

Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.

Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.

Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.

Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.

Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;

Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.

Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.

Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.

Shost:Jifariji huna namna!

Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?

Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?

Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!

Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?

Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!

Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!

Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.

Mimi😛ole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?

Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.

Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!

Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.

Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?

Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.

HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!

TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,😀
dronedrake Liverpool VPN
Kwahiyo kwenye ndoa wanatomban-a mpaka na mashemeji binamu🤔🤔🤔??

#YNWA
 
Halafu define kwanza u feminist ni nini then ndo uje na list ua hayo mazaifu yangu kisha umalizie na mifano ya kusapot hizo shutuma zako kwangu.

Wanaume siku zote hawapendi Wanawake wenye Vipato vya kuwazidi wao..Yaan wengi wengi wao wanajealous sana na wanawake waliowazidi vipato

Wanaume walio wengi wanaona wanawake waliwazidi vipato wanajeuri..ngebe..nyodo..dharau n.k

Na siku zote Wanaume hawajiamini kabisa mbele ya Wanawake waliowazidi Vipato

Na kama una Mume alafu umemzidi kipato atakuhusudu Vibaya sana..na hakuna HASSAD mbaya kama ya MUME KWA MKE
 
Dont be desperate for the name of Ndoa kama umepangiwa Ndoa utaipata tu..mda wako haujafika

Endelea kujitunza..kujipenda..kujithamini na kujiheshimu

Your future hubby is somewhere searching for you..Relax and keep calm
 
Muda mwingine mwanamme huwa tunamkataa mwanamke kumpima kama ataondoka ama atabaki.

Kuondoka kwako kunaonesha wewe ni mjeuri na una backup. Angekuoa ungemtesa na ungemkimbia tuu. Hufai kuwa mke.
😳Kupima huko kwioo🙄
 
Back
Top Bottom