Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

pEsa ndo kila kitu usidanganywe

Kuna dada angu alishawah kutaman ndoa mpaka akawa anawapatia hela wanaume,mara anahangaika na wazeee,mara matapeli anayaleta mpaka nyumban kuyatambulisha

bAadae ilibid nimshauri aachane na hayo mambo atafute hela tu,pesa ndo kila kitu,mungu saidia baadae alifanikiwa ila sahv tena anataman kutoka kwenye ndoa
Ameshachoka kufua majinzi tayari 🤣 anaona walio single wanafaidi sana
 
You were ready. You..not God. Huwa Kuna wakati tunasahau sisi tumekuja kufungua kitabu kilichokwisha andikwa. Turudi kwa mwandishi tumuulize njia ni ipi? Tumwambie tumepotea njia mbele ni Giza. Tunahitaji mwanga.
Hakika mkuu
 
Salaam.

October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.

Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.

Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.

Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.

Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.

Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;

Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.

Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.

Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.

Shost:Jifariji huna namna!

Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?

Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?

Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!

Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?

Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!

Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!

Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.

Mimi😛ole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?

Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.

Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!

Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.

Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?

Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.

HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!

TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,😀
dronedrake Liverpool VPN
Hata juhudi za kufanya reconciliation hakuna yet unasema ulimpenda sana? Ukimpenda mtu humuachii kirahisi namna hio unless njia zote za kutaka kuwekana sawa ziwe zimegonga mwamba.

Unaonesha dhahiri ulikuwa mpenzi kiburi ambaye hubabaishwi na mwanaume na kauli za aina hio.

You cant be cold hearted kiasi hicho halafu useme eti ulimpenda sana.
 
Salaam.

October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.

Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.

Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.

Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.

Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.

Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;

Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.

Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.

Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.

Shost:Jifariji huna namna!

Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?

Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?

Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!

Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?

Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!

Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!

Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.

Mimi😛ole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?

Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.

Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!

Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.

Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?

Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.

HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!

TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,[emoji3]
dronedrake Liverpool VPN
Pole sana i feel what you went through .
Relax good time is there
Usiforce mapenzi tulia muda ni mwalimu mzuri.
 
Eti ili wapate za kujitoa kwenye ndoano...oops my bad..Ndoa
😀😀😀
Wanaume siku zote hawapendi Wanawake wenye Vipato vya kuwazidi wao..Yaan wengi wengi wao wanajealous sana na wanawake waliowazidi vipato

Wanaume walio wengi wanaona wanawake waliwazidi vipato wanajeuri..ngebe..nyodo..dharau n.k

Na siku zote Wanaume hawajiamini kabisa mbele ya Wanawake waliowazidi Vipato

Na kama una Mume alafu umemzidi kipato atakuhusudu Vibaya sana..na hakuna HASSAD mbaya kama ya MUME KWA MKE
Imagine niko zangu hapa najiuguza kidonda anakurupuka mtu eti nina dharau,wewe feminist😀

Hakuna mwanamke mwenye adabu mbele ya suruali kama mim hiyo bas tu mwanaume hata uwe vp kama hakupend haisaidii
 
Imagine niko zangu hapa najiuguza kidonda anakurupuka mtu eti nina dharau,wewe feminist😀

Hakuna mwanamke mwenye adabu mbele ya suruali kama mim hiyo bas tu mwanaume hata uwe vp kama hakupend haisaidii
Simamia hapohapo
 
Wewe unaonekana una hela za ku backup jeuri yako hio. Ungekuwa huns hela ungekuwa una adabu kwa wanaume.
Uzur Tolu anajua nilikua namuheshimu.

Kwa hiyo kinyume cha Jeuri ni kulazimisha mahusiano na mtu ambae ameomba tuachane?
 
Salaam.

October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.

Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.

Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.

Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.

Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.

Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;

Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.

Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.

Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.

Shost:Jifariji huna namna!

Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?

Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?

Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!

Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?

Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!

Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!

Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.

Mimi😛ole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?

Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.

Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!

Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.

Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?

Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.

HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!

TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,😀
dronedrake Liverpool VPN


Wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwa sababu ambazo sio sababu

Jamani ndoa ni taasisi na ndoa ni jukumu tena jukumu linalobeba heshma na utu wa mtu.
Lakini hapohapo ndoa sio shurti useme ati kila mtu lazima aoe a kuolewa.

Kumiliki ndoa ni kama kumiliki shamba au nyumba au mifugo au biashra au gari.... sio kila mtu anaweza kumiliki nyumba au gari na kukosa kumiliki hivyo sio dhambi wala sio ujinga au ujanja ila ni uwezo

Ukisema ati ndoa ni heshma au bila ndoa hujakamilika huku unachepuka daily kwa kukosa upendo wa ndoa wewe mpuuzi na mpumbavu wa mwisho ambaye hufundishiki, hujielewi wala hueleweki

Team kataa ndoa ni wanaume ambao bado wanakua na wakiwa wakubwa watabadili mawazo

Ndoa iheshimiwe na watu wote
 
Back
Top Bottom