Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nasaini mkataba chap nabeba magauni yangu na mafuta na mswaki namuacha tajiri ainjoi 🤣🤣🤣Ili umkabidhi mtoto wa mama mkwe wako haraka!😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasaini mkataba chap nabeba magauni yangu na mafuta na mswaki namuacha tajiri ainjoi 🤣🤣🤣Ili umkabidhi mtoto wa mama mkwe wako haraka!😂
Watu huchoka mkuu,hata mkeo sidhani kama ni mwanamke wa kwanza kwako,wapo uliowaumiza Kwa kuwaacha Kwa kuwa halikuwa chaguo lako sahihiSjaconclude kuwa yuko wrong ila feedback ni muhimu. We have spent years together. Have alot of plans set up halafu ghafla unatokea tu kusema you feel like quiting.
Lazma nijue kosa langu ni nini at first au nini hakijaenda sawa, ntalazimisha nipate hio feedback then ndio tutemane. Sasa umeachana na mtu kwa tabia flani mbaya labda panic za ajabu ajabu. Unapata partner mpya unaendelea na tabia ile ile ya hovyo ukiachwa tena unaanza kuhisi wanaume wote mbwa
Noma kinoma!Halafu unarara mbere?Akishindwa kuendesha "kampuni" utakubali akurudishie bila fidia?Nasaini mkataba chap nabeba magauni yangu na mafuta na mswaki namuacha tajiri ainjoi 🤣🤣🤣
Nimependa hizo NYODOZ zakoStress hazikatai sbb nilipenda kwa dhati na ni mara ya kwanza mim kuachwa.
Sijamtolea stress ila nilitaka aache unafiki.Mara kibao anasema anajuta kumtii mumewe aliyemuomba aache kaz.
Wakat namwambia nimepata mtu ananipa furaha kias niko tayar kuacha ofis zangu nikaish nae alinihusia sana kuwa "Ndoa haina thaman kias cha wewe kuchukua hatua kubwa kias hicho" then akasema "Hujui tu maumivu tunayovumilia kwenye hiz ndoa".
Iweje mtu anayefikia kupata faraja kwa wanaume wa nje,anayedanga il awe na kwake amuache mumewe anishaur nilazimishe ndoa na mtu aso na hisia tena na mim?
Demu wangu wa kipare ndio nilimuachaga vibaya sababu alikuwa ananibore sana 🤣🤣🤣 Mungu anisamehe tu, kuna siku nimekaona Mlimani City kanashuka kwenye gari nWatu huchoka mkuu,hata mkeo sidhani kama ni mwanamke wa kwanza kwako,wapo uliowaumiza Kwa kuwaacha Kwa kuwa halikuwa chaguo lako sahihi
Nikileft naleft aroooo apambane tu yeyeNoma kinoma!Halafu unarara mbere?Akishindwa kuendesha "kampuni" utakubali akurudishie bila fidia?
Njoo nikupe Mimi , hata Mimi ni tolu Fulani hiviSalaam.
October last year niliachwa na mwanaume niliyetokea kumpenda sana.
Alionyesha kunipenda na kuahidi ndoa ila mpaka anafikia kusema ITS OVER sikushangaa tokana na mapicha picha nlokua nikijionea mwishoni mwishoni.
Kuumia kwa kuachwa na umpendae ni kawaida ila alivyosema tu tuachane NILILIA dk 1 nikafuta machozi ila nikasema nikimbembeleza huyu ni kujiongezea muda wa kustresika na mapicha picha yake.
Nikamkubalia na kumtakia kila la kheri nikafuta namba na kila kitu then nikasema nitafute kitu cha kuji keep busy ili nimsahau haraka.
Fasta nikampigia shost yangu mmoja yuko nje ya nchi nikamwambia nimeipitisha idea ya project aliyoomba tushirikiane kufanya.Lengo hapa ni kuongeza kipato na ubusy ili nimsahau kirahisi.
Kuna shosh angu nimemuhadithia ananiambia;
Shosti:Mi naona kwa vile alishafikia had kukuahid ndoa mbembeleze yaishe.
Mimi: Kwa vile nampenda angenioa ingekua furaha ila sitak kuteseka kwa ndoa ya kulazimishia.Kwanza umri ushanitupa mkono kwa sasa nitafute tu pesa.
Shosti:Weee!! Jeep asikudanganye mtu shoga angu!!Hata uwe kama Bakhresa bila ndoa hujakamilika.
Mimi:Shosti ndoa tamu kwa wanaopendana ila wapo wanawake kibao nikitangaza TUBADILISHANE NIWAPE ROBO YA MALI ZANGU WANIPE NDOA ZAO trust me utashangaa jins watakavyojitokeza wengi.
Shost:Jifariji huna namna!
Mimi:Unakumbuka ulivyokua ukinipigiaga ukilia juu ya mumeo anavyokufanyia?
Shosti:Hiyo kawaida kwenye ndoa na siku hz ndoa yangu ina aman au huon siku hz silii tena.?
Mimi:Si ulisema hutalia tena sbb akimwaga ugali na wewe unamwaga mboga kwa kutembea na binamu yake?
Shosti:Hata wewe huna utakatifu wowote huyo Tolu angekuoa kuna siku tu na wewe ungechepuka!
Mimi:Wewe ulisema unachepuka na binamu yake ili umalizie kibanda unachojenga.Na unakumbuka ulisema hicho kibanda kikiisha tu na mume unamkimbia ukaishi kwako upumzike na mateso ya ndoa!?Sasa mim Tolu angenioa ningemsaliti kwa njaa gan nlonayo?
Shosti:Ndoa tamu bibi wee fanya uolewe pesa sio kila kitu!
Mimi:sawa ila niombee nipate ndoa yenye amani sio kama hiyo yako ya mateso!
Shost:Heheeee!Yatakushinda!Leo naona umenikamia shoga anguYaan wewe sikuwezi..Halafu shoga angu vp ile hela nilikuomba nimtumie mama nasikia hali yake inazid kuwa mbaya ndugu yangu.
Mimi😛ole ila Ina maana mumeo kashindwa kumtibu mkwe wake had uhangaike kuazima hela.?
Shost:Shoga kama unanisaiidia nisaidie tu ila shemej yako sasa hv uchum wake sio mzuri.
Mimi:Sio mzur kvp na ulisema kuna deal katusua ila hela yote kamnunulia mcheps wake kiwanja?Huu ndo utamu unaoniringishia?Salon yenyewe umeingia mara ya mwisho ulivyonisindikiza nikakupa ofa na wewe!
Shost:Basi tuseme hutak kunisaidia haina shida.
Mimi:Hahaaa!Ni vile tu ni mama ingekua wewe ndo unaumwa ungejitibu kwa hicho cheti chako cha ndoa.Nikurushie kwa namba ile ile au?
Shosti:Nakutext nyingine,Ile ina deni watazikata.
HAKUNA MWANAMKE ASIYETAKA KUOLEWA ila tunapokosa lazima maisha yaendelee kwa kujifariji kuwa tuna FURAHA ambayo wenzetu wengi walioolewa hawana na wengekua na uchumi mzuri wangetoka!
TEAM KATAA NDOA bado form za kujiunga zipo?,😀
dronedrake Liverpool VPN
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Inaumiza sanaDemu wangu wa kipare ndio nilimuachaga vibaya sababu alikuwa ananibore sana 🤣🤣🤣 Mungu anisamehe tu, kuna siku nimekaona Mlimani City kanashuka kwenye gari n
na dadaake nikaona aibu hata kumsalimia.
She felt the pain haswaa,maana nilimtosa kwa suprise.
Kalikuwa kalalamishi sana 🤣🤣🤣 videm vyembaba jau sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Inaumiza sana
Asante kwa darsa mkuu, sasa ebu fanya uchek PM...😋Jeep rubicon
Ninavyojua FEMINIST na Falsafa ya Feminism ni zaidi ya mwanamke kuelimika au kuwa na pesa ili kupambana na jinsia ya kiume ambayo ni kandamizi kiasili (Evil in Nature)
Pia ndani ya Falsafa ya Feminism kuna makundi makubwa mawili ambayo ni Radical Feminists na Moderate Feminists
Feminism inatafsiriwa vibaya sana.. maana mtu wa jinsia yoyote ile anaweza akawa ni Feminist.
Sasa huwa tunachanganya mambo..Kuna wale wanawake wenzetu wengine wenye hasira ya maisha na wamekata tamaa na kuaamua kuwa na hasira ya kushambulia jinsia ya kiume ndiyo huwa wanajiita Feminist au tunawaita ni Feminists (This is very Incorrect)
Mtu kazalishwa na mwanaume huko na akaachwa..akaanza kuwa na hasira na wanaume wote anajiita Feminist AU mtu kalelewa na baba aliyemfanyia ukatili utotoni sasa amekuwa anachukia wanaume anajiita Feminist.
Inabidi tukae tufundishane nini maana ya Feminism: Maana wanawake wengi ambao wana kazi nzuri, elimu nzuri na kipato kikubwa (Independent Women) hujidhania kuwa wao ni Feminists.
Na kwa nyie Wanaume Mheshimiwa Ushimen
Ushimen
Maana ya kua FEMINIST sio kwamba kila Mwanamke FEMINIST basi maana yake anadharau WANAUME hapana..nadhani ungekaa chini kuelewa nini maana ya FEMINIST kwa kina ndio umshambulie mleta mada🙏
Binafsi Siamini kwenye 50-50 inaua mahusiano mengi, dhana ya 50-50 ni nadharia tu..reality ni kuwa lazima Mwanaume amtawale Mwanaamke hilo SILIPINGI NIKIWA KAMA MWANAMKE NINAE JITAMBUA LAZIMA MUME AWE JUU YANGU NA LAZIMA NIMTII KATIKA YANAYOMPENDEZA MWENYEZI MUNGU YALIO NDANI YA MIPAKA
Necessarily harsh lakini kichwa cha nyumba ni Mwanaume Sasa hawa wanaokuja na hizi nadharia wanafanya maisha yawe magumu..kikubwa ni kupokea yenye mafunzo na kuyapuza yenye kubomoa.
SawaKalikuwa kalalamishi sana 🤣🤣🤣 videm vyembaba jau sana
Yaan anavonikomalia akat mwenzie nina maumivu moyon najiona kama wale mama wajawazito wanaojifungua huku wakichapwa vibao na manesi badala ya kupewa faraja😀😳Hivi upo seriously kweli umemkomalia huyu manz yupo wrong bro?
I can only say amen cause I have nothing to add.
Umesema yote ya hekima
Mkuu hakuna mtu anaweza kueleza matatizo ya mahisiano yake kwa undan in public.Ameomba kuachana ndio ila its better kujua changamoto ilikuwa ni nini, you might be doing things the wrong way na hajapenda or he is just the crazy one.
Hata ukitaka ku shut down tangazo kwenye simu lazma likuulize je unaonaje au kero yako ilikuwa nini juu ya hili tangazo. Je, its inappropriate, irrelevant, repititive au nini hasa unaona hakijakufurahisha? Ukiwajibu basi wanasema asante kwa mrejesho.
Ina mtoto/watoto?Stress hazikatai sbb nilipenda kwa dhati na ni mara ya kwanza mim kuachwa.
Sijamtolea stress ila nilitaka aache unafiki.Mara kibao anasema anajuta kumtii mumewe aliyemuomba aache kaz.
Wakat namwambia nimepata mtu ananipa furaha kias niko tayar kuacha ofis zangu nikaish nae alinihusia sana kuwa "Ndoa haina thaman kias cha wewe kuchukua hatua kubwa kias hicho" then akasema "Hujui tu maumivu tunayovumilia kwenye hiz ndoa".
Iweje mtu anayefikia kupata faraja kwa wanaume wa nje,anayedanga il awe na kwake amuache mumewe anishaur nilazimishe ndoa na mtu aso na hisia tena na mim?
Na tunachapwa haswaaaYaan anavonikomalia akat mwenzie nina maumivu moyon najiona kama wale mama wajawazito wanaojifungua huku wakichapwa vibao na manesi badala ya kupewa faraja😀
Siwez kuanika sbb za Tolu kuniacha hapa hadharani ila jua tu hizo sbb sio hizo ulizoainisha hapo chini.Naona Tolu kakuacha. Alikupa sababu zipi alipokuambia it's over?
Mtu unaweza ukabishana hapa watu wakikutuhumu kwamba wewe ni muumini wa Feminism ila maandiko yako ya Mwanzo yanasadiki imani yako.
Kuandika tu unaweza kutoa hela upewe Mwanaume na idadi kubwa ya wanawake, ni kuonyesha kuwa, kwako pesa ina thamani kubwa sana kuliko utu (uanaume).
Kumuambia Shoga yako kuwa ingelikuwa si mama anaumwa usingemsaidia na badala yake angetumia Cheti cha Ndoa kufanya matibabu ni kuonyesha kuwa ndoa haina thamani kwako.
Hata ukija na majibu tofauti katika swali langu la mwanzoni, ukweli ni kuwa Tolu kakuacha kwa sababu yaa dharau zako za kuwa na pesa,Ukaidi na kujiona.
Badilika.
Umeisha woote.Nimesoma tu heading, huo utajiri bado upo? Karibu pm dear
Basi sikuchapi tena mtoto mzuri 😀 unatumia kinywaji gani?Yaan anavonikomalia akat mwenzie nina maumivu moyon najiona kama wale mama wajawazito wanaojifungua huku wakichapwa vibao na manesi badala ya kupewa faraja😀
Sbb ya kuniacha kanipa mkuu ila ni sawa kweli hata kama.nimeachwa kwa kunuka K kila mtu ajue ili msiniite Feminist?Sjaconclude kuwa yuko wrong ila feedback ni muhimu. We have spent years together. Have alot of plans set up halafu ghafla unatokea tu kusema you feel like quiting.
Lazma nijue kosa langu ni nini at first au nini hakijaenda sawa, ntalazimisha nipate hio feedback then ndio tutemane. Sasa umeachana na mtu kwa tabia flani mbaya labda panic za ajabu ajabu. Unapata partner mpya unaendelea na tabia ile ile ya hovyo ukiachwa tena unaanza kuhisi wanaume wote mbwa