Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Hata juhudi za kufanya reconciliation hakuna yet unasema ulimpenda sana? Ukimpenda mtu humuachii kirahisi namna hio unless njia zote za kutaka kuwekana sawa ziwe zimegonga mwamba.

Unaonesha dhahiri ulikuwa mpenzi kiburi ambaye hubabaishwi na mwanaume na kauli za aina hio.

You cant be cold hearted kiasi hicho halafu useme eti ulimpenda sana.
Umejuaje sijafanya juhudi za kunusuru hayo mahusiano wkt sijaeleza chochote zaid ya kusema nimeachwa?

Kwanin uhisi nilikua mpenz kibur na sio yeye?
 
Jeep rubicon

Ninavyojua FEMINIST na Falsafa ya Feminism ni zaidi ya mwanamke kuelimika au kuwa na pesa ili kupambana na jinsia ya kiume ambayo ni kandamizi kiasili (Evil in Nature)

Pia ndani ya Falsafa ya Feminism kuna makundi makubwa mawili ambayo ni Radical Feminists na Moderate Feminists

Feminism inatafsiriwa vibaya sana.. maana mtu wa jinsia yoyote ile anaweza akawa ni Feminist.

Sasa huwa tunachanganya mambo..Kuna wale wanawake wenzetu wengine wenye hasira ya maisha na wamekata tamaa na kuaamua kuwa na hasira ya kushambulia jinsia ya kiume ndiyo huwa wanajiita Feminist au tunawaita ni Feminists (This is very Incorrect)

Mtu kazalishwa na mwanaume huko na akaachwa..akaanza kuwa na hasira na wanaume wote anajiita Feminist AU mtu kalelewa na baba aliyemfanyia ukatili utotoni sasa amekuwa anachukia wanaume anajiita Feminist.

Inabidi tukae tufundishane nini maana ya Feminism: Maana wanawake wengi ambao wana kazi nzuri, elimu nzuri na kipato kikubwa (Independent Women) hujidhania kuwa wao ni Feminists.

Na kwa nyie Wanaume Mheshimiwa Ushimen
Ushimen
Maana ya kua FEMINIST sio kwamba kila Mwanamke FEMINIST basi maana yake anadharau WANAUME hapana..nadhani ungekaa chini kuelewa nini maana ya FEMINIST kwa kina ndio umshambulie mleta mada🙏

Binafsi Siamini kwenye 50-50 inaua mahusiano mengi, dhana ya 50-50 ni nadharia tu..reality ni kuwa lazima Mwanaume amtawale Mwanaamke hilo SILIPINGI NIKIWA KAMA MWANAMKE NINAE JITAMBUA LAZIMA MUME AWE JUU YANGU NA LAZIMA NIMTII KATIKA YANAYOMPENDEZA MWENYEZI MUNGU YALIO NDANI YA MIPAKA

Necessarily harsh lakini kichwa cha nyumba ni Mwanaume Sasa hawa wanaokuja na hizi nadharia wanafanya maisha yawe magumu..kikubwa ni kupokea yenye mafunzo na kuyapuza yenye kubomoa.
 
Umejuaje sijafanya juhudi za kunusuru hayo mahusiano wkt sijaeleza chochote zaid ya kusema nimeachwa?

Kwanin uhisi nilikua mpenz kibur na sio yeye?
Mmh maana naona kama ume shut down fasta tu yani. Kwa jinsi ambavyo umeandika maana hukuchukua steps labda kutaka kujua.
 
Wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwa sababu ambazo sio sababu

Jamani ndoa ni taasisi na ndoa ni jukumu tena jukumu linalobeba heshma na utu wa mtu.
Lakini hapohapo ndoa sio shurti useme ati kila mtu lazima aoe a kuolewa.

Kumiliki ndoa ni kama kumiliki shamba au nyumba au mifugo au biashra au gari.... sio kila mtu anaweza kumiliki nyumba au gari na kukosa kumiliki hivyo sio dhambi wala sio ujinga au ujanja ila ni uwezo

Ukisema ati ndoa ni heshma au bila ndoa hujakamilika huku unachepuka daily kwa kukosa upendo wa ndoa wewe mpuuzi na mpumbavu wa mwisho ambaye hufundishiki, hujielewi wala hueleweki

Team kataa ndoa ni wanaume ambao bado wanakua na wakiwa wakubwa watabadili mawazo

Ndoa iheshimiwe na watu wote
Amiin
 
Ku move on wote tunachukua muda ila kumng'ang'ania mtu aliyeomba kuachana ni kumkosea heshima

Kumpenda mtu ni pamoja na kukubali kukubali aachane na wewe iwapo kaonesha humpi furaha anayostahili kuipata.
Ameomba kuachana ndio ila its better kujua changamoto ilikuwa ni nini, you might be doing things the wrong way na hajapenda or he is just the crazy one.

Hata ukitaka ku shut down tangazo kwenye simu lazma likuulize je unaonaje au kero yako ilikuwa nini juu ya hili tangazo. Je, its inappropriate, irrelevant, repititive au nini hasa unaona hakijakufurahisha? Ukiwajibu basi wanasema asante kwa mrejesho.
 
Huenda nae kachelewa sana,na anaumia mno ila kujikaza....shosti mwanaume asipokupenda ukilazimisha umeisha
Kama ulikuwepo.

Sijakata tamaa mapema ila mpaka hapo niliona tu inatosha niache tu Tolu wangu aende kwa amani huko atakapopata furaha ambayo haipati kwangu
 
Ameomba kuachana ndio ila its better kujua changamoto ilikuwa ni nini, you might be doing things the wrong way na hajapenda or he is just the crazy one.

Hata ukitaka ku shut down tangazo kwenye simu lazma likuulize je unaonaje au kero yako ilikuwa nini juu ya hili tangazo. Je, its inappropriate, irrelevant, repititive au nini hasa unaona hakijakufurahisha? Ukiwajibu basi wanasema asante kwa mrejesho.
😳Hivi upo seriously kweli umemkomalia huyu manz yupo wrong bro?
 
Naona Tolu kakuacha. Alikupa sababu zipi alipokuambia it's over?

Mtu unaweza ukabishana hapa watu wakikutuhumu kwamba wewe ni muumini wa Feminism ila maandiko yako ya Mwanzo yanasadiki imani yako.

Kuandika tu unaweza kutoa hela upewe Mwanaume na idadi kubwa ya wanawake, ni kuonyesha kuwa, kwako pesa ina thamani kubwa sana kuliko utu (uanaume).

Kumuambia Shoga yako kuwa ingelikuwa si mama anaumwa usingemsaidia na badala yake angetumia Cheti cha Ndoa kufanya matibabu ni kuonyesha kuwa ndoa haina thamani kwako.

Hata ukija na majibu tofauti katika swali langu la mwanzoni, ukweli ni kuwa Tolu kakuacha kwa sababu yaa dharau zako za kuwa na pesa,Ukaidi na kujiona.

Badilika.
 
😳Hivi upo seriously kweli umemkomalia huyu manz yupo wrong bro?
Sjaconclude kuwa yuko wrong ila feedback ni muhimu. We have spent years together. Have alot of plans set up halafu ghafla unatokea tu kusema you feel like quiting.

Lazma nijue kosa langu ni nini at first au nini hakijaenda sawa, ntalazimisha nipate hio feedback then ndio tutemane. Sasa umeachana na mtu kwa tabia flani mbaya labda panic za ajabu ajabu. Unapata partner mpya unaendelea na tabia ile ile ya hovyo ukiachwa tena unaanza kuhisi wanaume wote mbwa
 
Hii ni simulizi la upande mmoja(self-centeredness inaweza kuchukua nafasi)!Bado upande mwingine.Wewe tolu aka tolo aka long-person aka mura murera aka king-sized young man,hebu njoo utusimulie ilikuwaje hadi mkashindwana na@Jeeprubicon?
 
Wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwa sababu ambazo sio sababu

Jamani ndoa ni taasisi na ndoa ni jukumu tena jukumu linalobeba heshma na utu wa mtu.
Lakini hapohapo ndoa sio shurti useme ati kila mtu lazima aoe a kuolewa.

Kumiliki ndoa ni kama kumiliki shamba au nyumba au mifugo au biashra au gari.... sio kila mtu anaweza kumiliki nyumba au gari na kukosa kumiliki hivyo sio dhambi wala sio ujinga au ujanja ila ni uwezo

Ukisema ati ndoa ni heshma au bila ndoa hujakamilika huku unachepuka daily kwa kukosa upendo wa ndoa wewe mpuuzi na mpumbavu wa mwisho ambaye hufundishiki, hujielewi wala hueleweki

Team kataa ndoa ni wanaume ambao bado wanakua na wakiwa wakubwa watabadili mawazo

Ndoa iheshimiwe na watu wote
I can only say amen cause I have nothing to add.
Umesema yote ya hekima
 
Ku move on wote tunachukua muda ila kumng'ang'ania mtu aliyeomba kuachana ni kumkosea heshima

Kumpenda mtu ni pamoja na kukubali kukubali aachane na wewe iwapo kaonesha humpi furaha anayostahili kuipata.
Umefanya maamuzi mazuri na yenye heshima umeheshimu maamuzi yake

Kujing”ang”aniza kumpenda alioemba muachane ni kuendelea kurarua Moyo wako..take a deep breath with a glass of water..then Life goes on

Always time will heal your wounds..endelea kujipenda Mume wako yupo trust me..its matter of time tu
 
Back
Top Bottom