Wewe mbona wakati unasoma hukuingiliwa kwenye mapenzi yako na ulimpenda jamaa sio poaHuyo dogo muhimize asome, jiepushe pia 30yrs behind the bars mkuu, mtu yeyote anayetumia "x" ni mtoto na inakera kama ana kithembe vile😂. Ebu Muache mtoto asome
Huyo dogo muhimize asome, jiepushe pia 30yrs behind the bars mkuu, mtu yeyote anayetumia "x" ni mtoto na inakera kama ana kithembe vile😂. Ebu Muache mtoto asome
Yupo serious sana mkuu maana amekuja kama upepo wa kisuli suli.Jaribu kuchunguza kama ni kweli na yuko serious kwa anayo yaandika. Kama ni kweli na amedhamiria usimfanye chochote namanisha usile mbususu yake achana nae kama huna nia nae. Ushauri wa bure, sasa kaza fuvu ule mbususu wakati huna mipango nae. Hawa viumbe kama wako serious na ww kisha ww hujali wanaweza fanya lolote, utakuja upigwe kipapai shauri yako.
Hii ungeiongezea mchaimchai ili inukie vizuri.Yuko radhi kufa kwa ajili yangu
Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.
Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa
Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Aisee mpaka hapo kashanikosa, haiwezekani unachat mixer x badala ya s au humalizii herufi.Usikute ni mwanafunzi huyo, Umri wake kwanza,unaweza kuta amefokewa na mama yake huko anataka aje kwako.
Kama hawezi tofautisha X na S
[emoji23][emoji23][emoji23] malizia story mzeeHaha xtarudia.
Sijui nini ilinipitiaga katika mazingira flani
Nikajikuta mtoto flan mwenye mwandiko kama huo, ilikuwa kila akinitext najisikia aibu kuwa ilikuwaje hata akawa na namba zangu?.
Unajua nini?
Nilikuwa simjibu akipiga sipokei nikitaka akate tamaa wapi.
Nitaandikiwa gazeti.
Nikijaribu kumwambia wewe ni mdogo tafuta dogo mwenzio aah wapi.
Wanajua kung'ang'ania hao mbona utakoma?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilifanikiwa kumweka mbali nami japo akinikumbuka ananipigia na namba mpya[emoji23][emoji23][emoji23] malizia story mzee
Na kwao k hali ni choka mbayaHuyo mwanamke hata sio nyege, anataka hifadhi 😂😂
[emoji3][emoji3] we jamaa mnafiki sana[emoji15][emoji15][emoji15]
Kumbe na wanawake huwa wanashikwa na nyege kama hizi kiasi cha kujitumisha sms mfuatano pasipo kujibiwa? Sasa mbona tukiwaomba waje gheto wanatulia 67k zetu ndani ya siku mbili tokea kuanza mahusiano! [emoji24][emoji24]
Kama huu mkuu?Hii ungeiongezea mchaimchai ili inukie vizuri.
Hapa shulen kwangu ninao form one F nahis hicho kibint kitakua darasa hilo , ngoja kesho nikatembeze bakola Hadi wamtaje hyo jamaa ntawapa mrejesho naimani ntakipataKidemu kitakua ni form one...tena form one D
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
Asante kaka comment yako iko strong sanaIshi nae tu....
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana