Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Jaribu kuchunguza kama ni kweli na yuko serious kwa anayo yaandika. Kama ni kweli na amedhamiria usimfanye chochote namanisha usile mbususu yake achana nae kama huna nia nae. Ushauri wa bure, sasa kaza fuvu ule mbususu wakati huna mipango nae. Hawa viumbe kama wako serious na ww kisha ww hujali wanaweza fanya lolote, utakuja upigwe kipapai shauri yako.
 
Huyo dogo muhimize asome, jiepushe pia 30yrs behind the bars mkuu, mtu yeyote anayetumia "x" ni mtoto na inakera kama ana kithembe vile😂. Ebu Muache mtoto asome
Screenshot_20220625-235710.png

hebu niache kwanza huyu keshamaliza shule na Div 4 yake hana shida na serikali😅😅😅

mimi ni mume wake rasmi❤️❤️❣️❣️❣️
 
Jaribu kuchunguza kama ni kweli na yuko serious kwa anayo yaandika. Kama ni kweli na amedhamiria usimfanye chochote namanisha usile mbususu yake achana nae kama huna nia nae. Ushauri wa bure, sasa kaza fuvu ule mbususu wakati huna mipango nae. Hawa viumbe kama wako serious na ww kisha ww hujali wanaweza fanya lolote, utakuja upigwe kipapai shauri yako.
Yupo serious sana mkuu maana amekuja kama upepo wa kisuli suli.

nimegoma kumpokea, nikapigiwa simu na mama yangu mdogo kaniambia usipomuoa huyo hutokaa upate mwanamke kama huyu..

presha jjuu ya Bp
 
Yuko radhi kufa kwa ajili yangu

Yuko radhi kuondoka kwao kuja kwangu hata bila mahari, aolewe tu na mimi.

Hajaniomba hata mia, japo aliwahi kuonesha symptoms😅😅😂😂 nikakwepa

Nishamwambia sina maisha ya kumfanya aishi katika ndoa ila anataka tu aje hata tukilala chini ya mti, poa tu.

SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
View attachment 2271569
Hii ungeiongezea mchaimchai ili inukie vizuri.
 
Usikute ni mwanafunzi huyo, Umri wake kwanza,unaweza kuta amefokewa na mama yake huko anataka aje kwako.

Kama hawezi tofautisha X na S
Aisee mpaka hapo kashanikosa, haiwezekani unachat mixer x badala ya s au humalizii herufi.
 
Haha xtarudia.
Sijui nini ilinipitiaga katika mazingira flani
Nikajikuta mtoto flan mwenye mwandiko kama huo, ilikuwa kila akinitext najisikia aibu kuwa ilikuwaje hata akawa na namba zangu?.
Unajua nini?
Nilikuwa simjibu akipiga sipokei nikitaka akate tamaa wapi.
Nitaandikiwa gazeti.
Nikijaribu kumwambia wewe ni mdogo tafuta dogo mwenzio aah wapi.

Wanajua kung'ang'ania hao mbona utakoma?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] malizia story mzee
 
Wanawake wanaoandika hivyo ni kweli wanatia hata kichefuchefu kusoma sms zao,lakini mtoa mada angalia moyo wako angalia pia uhalisia wa huyo binti tabia zake muonekano wake na anavyokupenda wote tunaokomenti apa hatumjui in person huyo binti…Unaweza kupoteza mke mwema kisa tofaut ya X na S nikutakie kila la kheri japo mimi siwezi [emoji23]napambna na hawa wa degree hadi masters mpaka kieleweke
 
[emoji15][emoji15][emoji15]
Kumbe na wanawake huwa wanashikwa na nyege kama hizi kiasi cha kujitumisha sms mfuatano pasipo kujibiwa? Sasa mbona tukiwaomba waje gheto wanatulia 67k zetu ndani ya siku mbili tokea kuanza mahusiano! [emoji24][emoji24]
[emoji3][emoji3] we jamaa mnafiki sana

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2272002

hataki hata nimuite jina lake... ni mke kwa kwenda mbele
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
 
View attachment 2272002

hataki hata nimuite jina lake... ni mke kwa kwenda mbele
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
 
View attachment 2272002

hataki hata nimuite jina lake... ni mke kwa kwenda mbele
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
 
Back
Top Bottom