Akili 09 Nguvu 01
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 695
- 1,377
- Thread starter
-
- #61
Karibu sana. Fanya hima uwahi nafasi. Namba njoo uibandike Inbox mana ukibandika hapa wengine watajifanya ndio mimiAyaaaaa ngoja niwah inbox hapa namba yangu wataihack
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakusubiri apa chini ya mkorosho(inbox). Ahahahahaha
Ebu fanya kuja pm kwanza tuyajenge. Nanyamba sio mbali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Mchepuko ambaye hawezi kujitegemea uyo hana Akili ya maisha na atakua mzigo kwanguYaani mchepuko awe na uwezo was kujitegemea?we ulisikia wapi?
VIGEZO na MASHARTI yamekua Magumu?Mimi ni mwanaume wa Miaka mid 30's, nimeoa na naishi na mke wangu, kutokana na changamoto za ndoa nimelazimika kutafuta Msaidizi wa mapenzi kwa mke wangu.
Hivyo basi nahitaji Mwanamke wa kua Mchepuko wangu rasmi na wa kudumu, awe na miaka kuanzia 20 -40. Awe na uwezo wa kujitegemea. Akiwa mikoa ya Lindi na Mtwara itapendeza. Karibuni dm
Vuta subira mkuu watakuja tu
Kufanya niniVip madam ,we uendi uko pm
HahhahahhahaMe tayari ni mchepuko sehemu nyingine
Kufanya nini
Atakua kashampata tayariUkajenge iyo nyumba ndogoπππΆ
Atakua kashampata tayari
Daaaah unakuja na moto !!! Mkeo hajakupa miaka mingapi mkuu.Mbona naona matangazo mengi ya Wanawake wanaohitaji Wapenzi lakini Tangazo langu halijapata Majibu?
Jamani bado naendelea kutafuta; Kwa msichana anayehitaji kuwa Mpenzi Mchepuko unakaribishwa sana nitakuhudumia kwa kila hitaji
Tangazo langu limeeleza sababu iliyopelekea na lengo la mada. AhsanteDaaaah unakuja na moto !!! Mkeo hajakupa miaka mingapi mkuu.
Hahaa karibu sanaKama mtia nia wa awamu hii amepata ,basi Baada ya uchaguzi guzi ,nitatia nia kwenye jimbo la ππ€£π Lenie
πππΆ
Bado hajapatikana, njoo tu nafasi bado ipoAtakua kashampata tayari
Shunie! Karibu pm nafasi bado ipoHahhahahhaha
Uyu msichana wa kwenye Avatar ndo wewe? Kama ndio nakuomba njoo pm na huu Uzi nitafufunga mara moja na kutangaza kua nmempata wa chaguo languKila la kheri