VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 667
- 917
Aisee!Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.
Pusha T anasemaNani ukubwani anakubali awe baba yako full time😅
Fact kbisa hakuna ndoa hapoKwakweli maisha yamebadilika.
Kwa sababu content zinazofanya ndoa iitwe ndoa zimebadilika,basi kuishi mke na mume ndani kusiitwe ndoa,kuitwe jina jingine.
Ndoa ambayo kila mtu anarudi saa nne nyumbani halafu kachoka,hii sio ndoa ni kitu kingine.
1.Ndoa ambayo kila mtu ana malengo yake kwenye familia yao,hii sio ndoa.
2.Ndoa ambayo mwanamke akipandwa na mumewe juu anahisi kaburuzwa na hakubali,hii sio asili ya ndoa ni kitu kingine.
3.Ndoa ambayo mke hasimami kama msaidizi,hii sio ndoa ni kitu kingine.
Asili ya ndoa ni mume kuwa kichwa,yaani kuna udictator kiasili,hakuna demokrasia hapo.haya mambo ya mke kutafuta usawa ndio yamesababisha wasomi wanakimbiwa,na ndoa zao ziko taaban,mwanaume msomi anakwenda kujiliwaza kwa mwanamke asiyejua hata kusoma maana ndiko uko asili ya mwanamke anaipata.
[emoji1787][emoji1787]Hakuna kitu kinanikera kama mmekaa sitting room anakuja house girl eti "chakula tayari, karibuni chakula"
Wife sasa " sauwaaa dadakeee" Duh hatari kweli
Sijui hii inatokana na nini.. Ila kwangu naipinga hii, mie wangu glass ananisogezea ila hata mimi namsogezea, ataniletea maji, hata mimi nampelekea maji, kwetu hiki kitu hatuoni kama ni utumwa naona tunachukulia ni sehemu ya mapenzi yetu, nina nafasi ananiagiza kabisa na dukani, tena nikiwepo ni nadra saana mke wangu kwenda dukani au sokoni.
Kuna hali fulani ukiichukulia, itakupa majibu mabaya,
Mfano ukimchukulia mama wa kambo ni mtesaji, hata akiwa anakufundisha/anakufundishia mwanao kazi za home utasema mtu anateswa.
Mapenzi si utumwa, mapenzi ni burudani, tulizo la nafsi, mapenzi ni starehe, kuoneana huruma na kujaliana.
Mie sioni haya kuingia jikoni kumpikia mke wangu.
Bt usitegemee raha tupu, binadamu kukwaruzana kawaida saana, hata kama itapita miezi 6 but mtakwaruzana hata kidunchu.
Wow i wish i met even one geniePusha T anasema
"Been granting wishes like a genie
Two bad hoes in two-piece bikinis
If you know you know..."
Mwanaume gani muoga wa maisha hivyo?fikiria siku ukakufwa zako, afu mkeo mama wa nyumbani na watoto 5, atawahudumia vipi? ndugu acheni wake zenu wapambane km mnavyo pambana
Na bila shaka Ndo lengo la Mtoa mada[emoji4]Uzi umewakuna wadada nimeonaa!
Nnawasiwasi Kuna Watu wamehack Simu yake...hata mimi sikutegemea, au kaibiwa simu akiwa online.
Sahii kabisa,Ngoja nikuambie mkuu unajua hii elimu ya kusoma na kujua kingereza ndo tatizo yaani mtu anajiona kasoma baada ya kujua kingereza na kufuata mila za kizungu
Kumbe mjinga mtupu mtu anashindwa kujua nafasi yake kama mwanaume ni tatizo ipo siku atakuja kumbebea mkewe mimba mambo ya haki sawa
Karogwa sio bure[emoji4]Yani na uchawi woooote kumbe jamaa ni simp aiseee. Au kwasababu kwenye mauchawi anakutana sana na wanawake wameugeuza moyo wake kama Sulemani alivyogeuzwa moyo na wanawake wa mataifa.
Eti Mshana Jr what went wrong bru ukaamua kua feminist wa kiume ?!, am curious sikutegemea jabali kama wewe kua simp.
Mtoa mada anakera Sana,Mkuu umepiga umepiga mkwaju huku goalkeeper kavaa miwani nyeusi tiii. Sitegemei jamaa kujibu.
[emoji106] approved"Mwanaume kuitegemea Ela ya mwanamke Ni ukahaba mamboleo"
Mkuu naomba nitumie maneno yako haya kama kichwa cha habari cha thread nyingine
Hawa hata dini Wala Mila hawajasoma, hawatakuelewaIla mwanaume ni mwanaume tu tusidanganyane hapa na mwanmke kusudi la kuumbwa uwe msaidiz wa mwanaume zingine hiz mbwembwe zetu tu tumejiongezea
Una hoja za msingi SanaUpo sahihi San mkuu, lakini nadhani kun kitu unakiacha nyuma ambacho ni Sambamba na hilo.
Kwa kuanzia;
Utamaduni wa democrasia ktk familia umetokea ulaya(siyo Jambo baya) ,lakn hao watu wa ulaya kulikamilisha Hilo pia kun baadhi ya tamaduni hazipo ambazo ndio chanzo cha kumfanya au kumjenga kifikra mwanaume kuw anahaki ya kunyenyekewa na mkewe.
mfano
1.Mwanaume kuw Kama mtafutaji wa familia,Jambo hili cyo baya kulingana na maumbile ya mwanaume kuweza kustahimiri mazingira mengi ya hatr.
Hii Inamfanya mwanaume atake kusaidiwa kazi nyingn na mkewe hasa hizo za nyumbn Mana tayar anamajukumu yake( kuleta mkate nyumbn).
2.Mwanaume kulipa mahari,hili nalo litolewe,man Kam unamlipia mke mahari milion 1 au 2 na mengine kwann asiwe chini yako.
Hili pia zungumzia.
3.Mwanamke asiwe tegemezi kwa mwanaume,ni ngumu San mtu unaye mpa kila hitaji lako asiwe chini yako.
Hivo hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo inapaswa yaachwe ndio nikubaliane na mawazo yako.
Kabisa mkuu,Akitaka kuishi ndoto zake akae kwao
Kumtafuna mtu afue au kukupeleka cafe na kulipia bill Ni sehemu ya uwajibikaji Kama mume.Tushukuru tulioolewa na wanaume waelewa wenye demokrsia wanajali basi raha tuu. Mume anajua umechoka anakwambia waifu subiri jmosi tufue wote au tafuta mtu afue au usipike kwa vile leo tulikua shamba basi twendeni tukale na familia out. Sasa mume kama huyu unaachaje kumkubali asee
Thanks[emoji106] approved
Sahii kabisa,Mleta mada hapa kapuyanga pakubwa, sijui aliwaza nini, au alikuwa na maana gani.
Nyakati zimebadilika sana, ila mwanaume habadiliki na nafasi yake haina substitute, ieleweke hivyo.