[emoji38][emoji38][emoji38]Yani wewe na mauchawi yako yote umeshindwa kutambua mwanaume na mwanamke ni viumbe tofauti, walioumbwa tofauti kwa ajili ya majukumu tofauti na ya kwamba mwanamke yupo kwa ajili ya kumsaidia mwanaume kutimiza maono kwa ajili ya familia ?! Sasa kama hata hilo haujui, mauchawi yako yanafaida gani ?!
Kama kanunu rahisi kabisa za ulimwengu zinakupiga chenga.
Haiendi bure,Amesahau "pesa ya Ke yeyote imefungiwa sabufa" [emoji3]
HakikaUlemavu unaokua kwa kasi kuliko hata ukosefu wa nguvu za kiume A.K.A "MARIOO"
Hawa nda wakiitwa na wanawakeMtoa mada anatafuta huruma za kindezi afatwe na Ke PM [emoji13]
Nmesikitika sana,Huu uzi umejaa ma freedom fighter na wasaliti chama
Haswaaa !! Kama wana ndoto zao ndoa ya nini ?![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa anasema wanawake nao Wana ndoto zao , Sasa kama Wana ndoto zao kwenye ndoa Wana fuata Nini !??
Ovyo kabisaUyu jamaa Ni bure kabisa[emoji3525]
Kwani jukumu la kulea watoto ni la nani? ukipata jibu hili basi shughuli imeisha.Namba 3. Haujajibu hoja umeleta porojo na preference eti nani hataki bla bla blah acha habari ya nani hataki jibu hoja ni kweli au sio kweli mwanamke mwenye ajira hana muda wa kulea watoto, watoto wanalelewa na house girl.
Majukumu gani tena mkuu, nilijua Mario wa Kizaramo unasaidiwa na mke "mwenye ndoto zake" kutafuta !?Wakuu sijakimbia uzi majukumu kidogo nitarudi...kujibu hoja.
Neno maono mnalitumia vile mnataka! Ndugu yangu kila binadamu aliyepo duniani ana kusudi la kuwepo duniani, ukilitambua hili hutakuwa na sababu ya kwanini usimsapot mkeo kwenye kusudi lake la kuwepo duniani.Kama wanandoto zao kwanini wasiolewe na ndoto zao ?!! Usasa unawaharibu na wanaume mario ndio mnatetea huu ujinga kina team Uchebe.
Ok Uchebe nikujuze tu mume ndio hubeba maono ya familia na ni jukumu lake kwa asili yake na mwanamke yupo kumsaidia mume kufikia malengo SIO KUJA NA MAONO NA MANDOTO YAKE.
Ndio maana ndoa zenu zinawaya waya kama machela, mwanaume anataka familia ielekea Kaskazini mwanamke anataka ielekee Mashariki hakuna maono ya pamoja.
fikiria siku ukakufwa zako, afu mkeo mama wa nyumbani na watoto 5, atawahudumia vipi? ndugu acheni wake zenu wapambane km mnavyo pambanaNisaidie kujibu hii hoja yangu, ambayo naona kwa hakika wanawake wenye kazi hawafai na hawawezi kua mama na hata wake bora, kwa sababu hawana muda wa kulea watoto (ambalo kiasili na kma maumbile ndio jukumu lao) na pili kipaumbele chao sio familia bali kazi na vyeo. Hamnaga muda na familha na ni kichaka cha kutegea majukumu yenu ya asili.
Hili nililiona piaMtoa mada anatafuta huruma za kindezi afatwe na Ke PM [emoji13]
Kusudi lake ni kumsaidia mwanaume atimize malengo na maono ya mumewe. Amhudumie, awalee watoto, ampatie mwanaume faraja, sex nk. Hilo ndio kusudi lakeNeno maono mnalitumia vile mnataka! Ndugu yangu kila binadamu aliyepo duniani ana kusudi la kuwepo duniani, ukilitambua hili hutakuwa na sababu ya kwanini usimsapot mkeo kwenye kusudi lake la kuwepo duniani.
Kwani nilioa kwa ajili ya "siku nikifa" au kwa ajili ya kuijenga familia ?! Tuwaache wanawake zetu "wapambane" ?! Mwanaume nihangaike mke nae apambane sasa hapo tofauti ya mume na mke iko wapi ?! Si ni kama nimeoa limwanaume lenzangu ?!fikiria siku ukakufwa zako, afu mkeo mama wa nyumbani na watoto 5, atawahudumia vipi? ndugu acheni wake zenu wapambane km mnavyo pambana
Mliachana kwasababu ya jeuri, kiburi kinacholewa na mentality ya 50/50 haki sawa, ukiwa na maujinga ya haki sawa hata ukimfulia nguo anakuona kama ling'ombe tu, na ndio maana mliachana, na ndio mkome na ma haki sawa yenu shwainiNiko hapa nilimfanyia yote hayo tena na zaidi ila bado tuliachana
wewe unawezaje kujua kusudi la mwanamke ambaye hukumuumba? Tuwe na uhalisia, wewe unamuhudumia mkeo 100%? km jibu ni ndiyo basi Uzi huu haukuhusu.Kusudi lake ni kumsaidia mwanaume atimize malengo na maono ya mumewe. Amhudumie, awalee watoto, ampatie mwanaume faraja, sex nk. Hilo ndio kusudi lake
kwasababu hutak kufahamu Wala kuona mbali. Komalia hapo hapo.Kwani nilioa kwa ajili ya "siku nikifa" au kwa ajili ya kuijenga familia ?! Tuwaache wanawake zetu "wapambane" ?! Mwanaume nihangaike mke nae apambane sasa hapo tofauti ya mume na mke iko wapi ?! Si ni kama nimeoa limwanaume lenzangu ?!
Wewe unaeona mbali ndio unaona kua majukumu ya mwanaume ni sawa na ya mwanamke ?! Kama wewe ni mwanaume basi ni mwanaume zoba, goi goi, mario au vyote kama wewe ni mwanamke basi ni dume jike na hauna haiba ya mwanamke kama asili inavyompasa mwanamke.kwasababu hutak kufahamu Wala kuona mbali. Komalia hapo hapo.