Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Upo sahihi San mkuu, lakini nadhani kun kitu unakiacha nyuma ambacho ni Sambamba na hilo.

Kwa kuanzia;
Utamaduni wa democrasia ktk familia umetokea ulaya(siyo Jambo baya) ,lakn hao watu wa ulaya kulikamilisha Hilo pia kun baadhi ya tamaduni hazipo ambazo ndio chanzo cha kumfanya au kumjenga kifikra mwanaume kuw anahaki ya kunyenyekewa na mkewe.

mfano
1.Mwanaume kuw Kama mtafutaji wa familia,Jambo hili cyo baya kulingana na maumbile ya mwanaume kuweza kustahimiri mazingira mengi ya hatr.

Hii Inamfanya mwanaume atake kusaidiwa kazi nyingn na mkewe hasa hizo za nyumbn Mana tayar anamajukumu yake( kuleta mkate nyumbn).

2.Mwanaume kulipa mahari,hili nalo litolewe,man Kam unamlipia mke mahari milion 1 au 2 na mengine kwann asiwe chini yako.

Hili pia zungumzia.

3.Mwanamke asiwe tegemezi kwa mwanaume,ni ngumu San mtu unaye mpa kila hitaji lako asiwe chini yako.

Hivo hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo inapaswa yaachwe ndio nikubaliane na mawazo yako.
 
Sahii kabisa[emoji106]
Mtoa mada anaondoa maana Halisi ya kuoa.

Nikazie kwamba
Mwanamke Hana ndoto zake, anaishi kwa mwanaume ili kutimiza ndoto za mwanaume wake kwa ajili ya kizazi chake.

Ndo maana
akiolewa analipiwa mahali,
anabatizwa na kupewa ubini wa mume wake,
Na akifa anazikwa kwa mume wake,

Na sio sehem ndoto zake zinapomtuma.
Huu ukisasa wanaotuletea Ni UPUMBAVU kabisa[emoji3525]
Akitaka kuishi ndoto zake akae kwao
 
Tushukuru tulioolewa na wanaume waelewa wenye demokrsia wanajali basi raha tuu. Mume anajua umechoka anakwambia waifu subiri jmosi tufue wote au tafuta mtu afue au usipike kwa vile leo tulikua shamba basi twendeni tukale na familia out. Sasa mume kama huyu unaachaje kumkubali asee
 
Tuwawezeshe ili tukifa waendelee kuishi bila tatizo
 
Tushukuru tulioolewa na wanaume waelewa wenye demokrsia wanajali basi raha tuu. Mume anajua umechoka anakwambia waifu subiri jmosi tufue wote au tafuta mtu afue au usipike kwa vile leo tulikua shamba basi twendeni tukale na familia out. Sasa mume kama huyu unaachaje kumkubali asee
Sasa wenzako wanakaa hata kumpelea mumuwe maji ya kuoga, kumlisha mumewe eti wanadai ni utumwa
 
Mleta mada hapa kapuyanga pakubwa, sijui aliwaza nini, au alikuwa na maana gani.

Nyakati zimebadilika sana, ila mwanaume habadiliki na nafasi yake haina substitute, ieleweke hivyo.
 
Yani wewe na mauchawi yako yote umeshindwa kutambua mwanaume na mwanamke ni viumbe tofauti, walioumbwa tofauti kwa ajili ya majukumu tofauti na ya kwamba mwanamke yupo kwa ajili ya kumsaidia mwanaume kutimiza maono kwa ajili ya familia ?! Sasa kama hata hilo haujui, mauchawi yako yanafaida gani ?!

Kama kanunu rahisi kabisa za ulimwengu zinakupiga chenga.
The way unavyoongea utadhani wanawake wote wataolewa na kuwa wategemezi tu kwa waume zao!!! Nadhani unaona hata kupeleka mtoto wa kike shule ni hasara. Vipi kuhusu wanawake ambao hawatapata ndoa unataka waishije?
 
The way unavyoongea utadhani wanawake wote wataolewa na kuwa wategemezi tu kwa waume zao!!! Nadhani unaona hata kupeleka mtoto wa kike shule ni hasara. Vipi kuhusu wanawake ambao hawatapata ndoa unataka waishije?
Kumbe ambao hawajaolema sasa mbona jibu unalo
 
Wewe ndio mwanamke halisi sasa umeupiga mwingi sana eti Mwanamke kumuwekea Mume wake ni utumwa mtoa mada ni ovyo Sana dada ukiendelea na principle yako hii utapata Mume wakukuoa achana na hawa wanaharakati uchwara wanafanya wanawake wengi wasiwe na heshima na waume zao
Kwani hana mume? Hayo aliyoandika amesema ndiyo anayomfanyia mume wake.
 
Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi

Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.

mfano:
1. Mwanamke msomi mwenye kazi hatakuheshimu. Hapa itategemea unaishi naye kwa namna gani. Wanawake wa sasa sio wa Miaka ya 90 awe ana kazi asiwe na kazi hawataki kuburuzwa. hapa ni mwanaume kujua kuwa mtemi imeshapitwa na wakati ....ongoza Familia kidemokrasia. Ni afadhali kuwa na mwanamke msomi asiyeniheshimu kuliko niwe na mwanamke asiyemsomi anayeniheshimu kwasababu namzidi kila kitu.

2. Ukirudi kutoka kazini haupokelewi vizuri. What for? hili nalo na kulilia! ingia ndani salimiana ndani kwa ndani sio lazima mwanamke akukimbilie kama mbwa. Amechoka kumbuka naye Ametoka kazini.

3. Hatapata muda wa kuwatunza watoto na kuijali Familia. Wanaume tuwe wakweli kwenye hili. Ni nani anataka mwanae wa kike akawe mama wa nyumbani? be honest... Nataka mwanangu wa kike awe mtu kwenye watu..sio Mwanamke wa kukimbilia mijanaume iktoka kazini.

Wanawake wana ndoto zao kama ilivyo kwetu...wanahitaji kufanya kazi au kumiliki biashara zao.

4. Tendo la Ndoa itakuwa ishu. Hapa wote mtakuwa mnachoka..ila bado unanafasi kubwa ya kurekebisha hili..mtoe wife out weekend sehemu tofautitofauti...utaona tofauti. Sex sio maji kila siku mnadandiana.

Kwa ufupi nasema Dunia imebadilika na tuwe wakweli kulikubali hili na litatusaidia namna ya kuishi na mwanamke wa sasa.[/b]
Heheheh jiandae kulea single maza mzee baba
 
Ndiwoooo 😃 ni kama vifo vitokanavyo na magari, ndege na vinginevyo lakn hatuachi kuvitumia kwa usafiri.
Au sio utalia na kuapa kuwa hutapanda tena lakini baaada ya muda umerudi kuvipanda
 
Back
Top Bottom