Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

Bado mapenzi yanakusumbua; unapita kumsalimia ili iweje? Move on bra
 
Ebwana wewe unamatatizo so miaka imeenda bado unamuwaza tu huyo dem mpaka unaenda kumringishia gari yako🤣 let it go bwana
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala. Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu. tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu nin mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu.

Tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu, Mwenyezi Mungu sio Athumani, saivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Ila mapenzi bhana, saivi nina Magari anapaparika mnoo.

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Hahaaaaa, kwahiyo unamtambia kuwa una magari mkuu? Haisaidii kwani yalishapita hayo. Move on mkuu.
 
Ndiyo nampenda ila nataka kumpa somo kwanza aelewe katika maisha mambo hubadilika
Usimrudie,ukifilisika atakukimbia na kukuachia watoto

Huyo ni Kama Nancy wa Davis mosha
Anathamini material things kuliko upendo na utu wa mtu.

Trust me Kuna kushuka kwenye maisha,madhali una pumzi lolote laweza kukupata muda wowote.

Tafuta mwanamke sahihi ufanye naye maisha.
 
Uyo mwanamke webado unampenda kama vp muoe tu kama hajaolewa Bado
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala.

Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu.

Tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu ni mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu, tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu.

Mwenyezi Mungu sio Athumani, sasa hivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Sasa hivi nina Magari anapaparika mno, Ila mapenzi bhana

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Usijaribu hata kumfikiria huyo maana ni mshamba, mpuuzi na hajitambui, kwasasa una magari lakini magari hayapo siku zote hivyo siku ukikosa ulichonacho atakukimbia tena. Tafuta mtu sahihi uendelee na maisha yako
 
hivi ni kweli kuna watu wanapaparikia mwanaume kisa 'gari'..??
smdh..!!
Ila jf inawanafiki sana kwakweli nmecheka sana kw comment yako hata kw nchi zilizoendelea kuna aina fulan za magari wanawake wanapapatikia uyo mwanaume sembuse huku.
 
Aachane nae bwana Acha akafie mbali hukooo maana huyo atakuwa hajarudi kwa kumpenda atakuwa kafata Mali tuu
 
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke kisha namsindikiza kwao kwa daladala.

Siku moja akanambie we nenda tu nikasema sawa sasa kuna mshikaji wangu alinichelewesha muda natoka naona pisi yangu inaingia kwenye IST (Vigari visnichi) shwaaa, akaondoka, nikapotezea siku nyingine tupo kwenye daladala akapigiwa simu alipomaliza kuongea akanambia mi nashuka kituo cha mbele, nikwamuuliza amekuja kukufata tena? akanijibi ni rafiki tu.

Tukateremka wote, jamaa akaja nikamuuliza manzi yangu huyu ni nani yako akanijibu ni mpenzi wangu, dah! niliumia sanaa sikujibu kitu baada yake nikaondoka badaye akanitafuta akanambia alinitania tu, tukaendelea ila nilitamani siku ifike ajue kuwa IST sio kitu ya kudharau upendo wangu.

Mwenyezi Mungu sio Athumani, sasa hivi nina Magari matatu BMW M5, CROWN, na VANGUARD na huwa napita kumsalimia anapofanyia kazi kuonesha kuwa Wakati wa mungu ni sahihi zaidi. Sasa hivi nina Magari anapaparika mno, Ila mapenzi bhana

Tujifunze kuheshimu watu, Maana hatujui nani atakuja kuwa mlango wa Mafanikio Yetu
Kwa hiyo huyo bibie anaenda magari tu?!
 
Ila jf inawanafiki sana kwakweli nmecheka sana kw comment yako hata kw nchi zilizoendelea kuna aina fulan za magari wanawake wanapapatikia uyo mwanaume sembuse huku.
kumbe aina..??
Sawa mnafki mkuu...
 
Back
Top Bottom