Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
80k ya kusuka?Wewe unaona alichokifanya mwenzako ni sahihi mtu kazi anayo bado anataka anitegemee jwa kila kila kitu na juzi jumanne nimempa 80k ya kusuka na mambo mengine madogo madogo lakini leo tena tayari bili mpya
Yeah Nimeamini maneno yakoHuyo hakupendi, sio mwanamke wako sababu ana mwanaume wake anayempenda sana na sio wewe
Acha tu ndugu yangu na nilipanga nije niweke ndani kabisa ila ashanitoa imaniAna subiri kuwa single maza huyo, mpe miaka mitatu tu utakutafuta tena.
Kazi ya nauli 4500 ni kazi gani hiyo? Kwa hiyo haimlipi hata nauli?
Hapo wewe unapanda Daladala ila yeye anataka kwenda na Boda boda au bajajiπ π π
Hakika mkuu hii ni kupiga chiniHapo approximately anahitaji 1.5m per month yani mshahara wa doc
Piga chini
Hata kama level ni sawa ndio umlipie nauli ya kwenda kazini? Sasa hiyo kazi ni ya nini kama hata nauli hailipi?
Ma simp mna shida
Mkuu unaweza kunufafanulia ulichomaanisha? Kwa mapana kidogo kwanini useme hivyo??Huyo hakupendi, sio mwanamke wako sababu ana mwanaume wake anayempenda sana na sio wewe
Unawezaje kuja kupost screenshot ya chats zako na demu wako humu JF si ukapost Facebook huko.Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana niwaachie pasi wengine.
Mimi siwezi kufanya mambo yote hayo mimi sio baba yako. Kila mtu afe na chake
Nyinyi c mupo wazee niwakabidhi hii pisi mkimbizeMkuu unataka nani abebe msaba wako??ππ
Angekua anakupenda na ana shida na pesa angekuomba kwa lugha nzuri na sio kama hivyo anakupa taarifa au anatoa order kama kupewa ni haki yakeMkuu unaweza kunufafanulia ulichomaanisha? Kwa mapana kidogo kwanini useme hivyo??
Aiseee mbona kwenye mgegedo yupo very romantic mkuuSio kwamba hakupendi ni anakuchukia kuliko kiumbe yeyote yule duniani
Aisee hapo nimekuelewa mkuu shukranAngekua anakupenda na ana shida na pesa angekuomba kwa lugha nzuri na sio kama hivyo anakupa taarifa au anatoa order kama kupewa ni haki yake
Ebu ulete mkuuKuna Uzi niliwah uandike ngoja niifufue
Mkuu sio poa yaniπππMkuu kazi unayo ππ
leta namba nkutumie helaUnafurahisha baraza tu we huna hata afkumi ya kumpa bidada
Mm pia natumia hiyo nauli kwahiyo usiseme kazi gn it depends unakaa wapi unakuta mtu unapanda bajaji mbili mpaka kufika job but alichozingua dada mwenzetu ni kuomba nauli ya kazini wakati hua inakua kwenye budget ya mshaharaAna subiri kuwa single maza huyo, mpe miaka mitatu tu utakutafuta tena.
Kazi ya nauli 4500 ni kazi gani hiyo? Kwa hiyo haimlipi hata nauli?
Hapo wewe unapanda Daladala ila yeye anataka kwenda na Boda boda au bajajiπ π π