Mwanamke wastani wa miaka 25 hadi 29 bado ni Bikira

Mwanamke wastani wa miaka 25 hadi 29 bado ni Bikira

Habarini Wakuu

Katika maisha ya kila siku kuna marafiki wapya tunaokutana nao. Namaanisha rafiki sii zaidi ya hapo.
Kuna mmoja nimeanza kuwasiliana nae kama wiki sasa, hajaniweka wazi umri wake sahihi lkn ni wastani wa miaka 25 mpaka 29. Anasema kwa ujasiri sana kua yeye bikira mpaka leo hii.

Maswali ni mengi nikaona niulize jukwaani inawesekanaje kwa umri huo?

Kuna kitu hakipo sawa mentally?
Mantiki ya kuutunza huo ubikira ni ipi?

Kwa wanaume Ushakutana na bikira umri huo/kwa mwanamke ushawah kutunza bikira yako mpaka umri huo?

Inawezekanaje?
mbona nilikutana na binti wa islamic alikuwa 28 alikuwa nayo kabisa mm n shahid .....sjui nmtajeee
 
Habarini Wakuu

Katika maisha ya kila siku kuna marafiki wapya tunaokutana nao. Namaanisha rafiki sii zaidi ya hapo.
Kuna mmoja nimeanza kuwasiliana nae kama wiki sasa, hajaniweka wazi umri wake sahihi lkn ni wastani wa miaka 25 mpaka 29. Anasema kwa ujasiri sana kua yeye bikira mpaka leo hii.

Maswali ni mengi nikaona niulize jukwaani inawesekanaje kwa umri huo?

Kuna kitu hakipo sawa mentally?
Mantiki ya kuutunza huo ubikira ni ipi?

Kwa wanaume Ushakutana na bikira umri huo/kwa mwanamke ushawah kutunza bikira yako mpaka umri huo?

Inawezekanaje?
Labda bikra ya Mixx by Yas
 
Habarini Wakuu

Katika maisha ya kila siku kuna marafiki wapya tunaokutana nao. Namaanisha rafiki sii zaidi ya hapo.
Kuna mmoja nimeanza kuwasiliana nae kama wiki sasa, hajaniweka wazi umri wake sahihi lkn ni wastani wa miaka 25 mpaka 29. Anasema kwa ujasiri sana kua yeye bikira mpaka leo hii.

Maswali ni mengi nikaona niulize jukwaani inawesekanaje kwa umri huo?

Kuna kitu hakipo sawa mentally?
Mantiki ya kuutunza huo ubikira ni ipi?

Kwa wanaume Ushakutana na bikira umri huo/kwa mwanamke ushawah kutunza bikira yako mpaka umri huo?

Inawezekanaje?
Bikra ndio heshima kwa mwanamke, utakua mpumbavu kuacha bikra na kuoa mtumba
Cc : @rebecca87
 
Mwaka Jana mwezi wa tisa nimekutana na binti wa miaka 25,akanambia ni bikra,, akaniamini nikaitoa bikra.

Kilichonishangaza nikwamba tayari Kisha kuwa na mahusiano na men zaidi ya watano kabla yangu lakini wote waliishia deep kiss na kumsugua kisimi baaas.

Nilishaachana nae Ila. Bado huwa namfikiria mpaka leo na sijawahi kupata jibu kuhusu Ile bikra
 
Bikra ndio heshima kwa mwanamke, utakua mpumbavu kuacha bikra na kuoa mtumba
Cc : @rebecca87
Kwa huo umri mkuu km bado anayo maswali ni mengi sanaaa. Bora ambae ashavuka stej ya ujana
 
Mwaka Jana mwezi wa tisa nimekutana na binti wa miaka 25,akanambia ni bikra,, akaniamini nikaitoa bikra.

Kilichonishangaza nikwamba tayari Kisha kuwa na mahusiano na men zaidi ya watano kabla yangu lakini wote waliishia deep kiss na kumsugua kisimi baaas.

Nilishaachana nae Ila. Bado huwa namfikiria mpaka leo na sijawahi kupata jibu kuhusu Ile bikra
Haya ni maajabu
Miaka 25 na ukakuta bk? Km alikua anafaa uongeoa tuu mkuu
 
Haya ni maajabu
Miaka 25 na ukakuta bk? Km alikua anafaa uongeoa tuu mkuu
Nilitaka kumuoa lakini Nadhani haikupangwa,mpaka leo huwa najiuliza ilikuwa je mpaka akaitunza bk yake?
 
Kwa huo umri mkuu km bado anayo maswali ni mengi sanaaa. Bora ambae ashavuka stej ya ujana
Wapo wengi tu waliolelewa kwenye maadili achana na hawa wasiokua na malezi wanaona sasa tu kugawa nyuchi zao
 
Back
Top Bottom