stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Inawezekana alikuwa anasubiri kuwa na mwanaume kama wewe,lakini usijifariji,kujua ni kitu kimoja na kumpata kuwa mke ni kitu kingine,maana kuna wimbi la kuzitoa halafu hamuoi,sasa hapo inawezekana umekutana na kisiki,owa upewe,ukileta janja janja humpati,maana mpka anafika umri huo bado bikra atakuwa kashakwepa mishale mingi sana ya waonjaji...Habarini Wakuu
Katika maisha ya kila siku kuna marafiki wapya tunaokutana nao. Namaanisha rafiki sii zaidi ya hapo.
Kuna mmoja nimeanza kuwasiliana nae kama wiki sasa, hajaniweka wazi umri wake sahihi lkn ni wastani wa miaka 25 mpaka 29. Anasema kwa ujasiri sana kua yeye bikira mpaka leo hii.
Maswali ni mengi nikaona niulize jukwaani inawesekanaje kwa umri huo?
Kuna kitu hakipo sawa mentally?
Mantiki ya kuutunza huo ubikira ni ipi?
Kwa wanaume Ushakutana na bikira umri huo/kwa mwanamke ushawah kutunza bikira yako mpaka umri huo?
Inawezekanaje?