Mwanamke yupi sahihi kati ya hawa wawili? USHAURI WAKO NI MUHIMU

Mwanamke yupi sahihi kati ya hawa wawili? USHAURI WAKO NI MUHIMU

Naomba ushauri wako kati ya hawa wanawake wawili yupi anaweza kuwa sahihi kwangu?

MWANAMKE WA KWANZA
Ana elimu ya darasa la saba lakini ni mjanja sana maana hata text za kiingereza anajua kusoma na kuandika baadhi ya maneno, amezaliwa 1988 (miaka 36), ana watoto wawili wote wa kike - sio watoto wangu.

Mrefu, mweupe, ana akili ya maisha, anafanya kazi private sekta, na mjasiria mali (anajishughulisha na ufugaji kuku), amepanga anaishi na mtoto huyo mdogo (2 years) na dada wa kazi. Ni msafi, anajipenda, anajua maisha, anaweza ku-plan maisha yake (so far ana kiwanja, na bati kanunua) kifupi ni hayo. Niliwahi kuwa na mahusiano nae hapo awali, baadae nilipotezana nae, nilipokuja kukutana nae ndio akawa na huyo mtoto. Wazazi wake wote wamefariki.

MWANAMKE WA PILI
Ana elimu ya form 4 (division 3 point 25), ni wa mwaka 2000, ana mtoto wa miaka 4 (mtoto wa kike), anaishi na babu na bibi yake - (kwa upande wa mama yake) kwa sababu baba na mama yake walishafariki. Mrefu wastani, maji ya kunde, hana akili ya maisha zaidi ya kujua kupika na kufua na yale mengine ya chumbani (chumbani ni wa moto), ni tegemezi kwa asilimia 100% hata ukimueleza kuhusu kufanya biashara au kumtafutia shughuli ya kufanya anasema yeye kwasasa anataka tu ku-enjoy maisha na kikubwa azae alee familia.

Kwa jinsi alivyo hana matumizi mazuri ya fedha kwa kile apewacho, sijui kama ni akili ya utoto au laaa.

Huyu wa 1988 na huyu wa 2000 tofauti yao ni miaka 12, kwa maana mmoja ni 36 years, na mmoja ni 24 years.

Naomba toa ushauri wako kuhusu mwelekeo wa nani kati ya hawa wawili anaweza kuwa mama bora wa familia.

Akina dada na wamama wa hapa JF, na nyie wanaume kulingana na uzoefu wenu wa maisha , TAFADHALI NAOMBA USHAURI WENU.
Wewe tunakoelekea tutaanza kuwapiga fimbo ,kwani mabinti wasio na watoto wameisha ?
Sijaona mwanamke hapo Kati ya wote .
 
Mbona tayari umejijibu,watoto wa 2000(af mbili) ni moto brother tendo sio maisha,amani ni kitu muhimu sana na tunaojua ni tulio kwenye ndoa tu,kama nafsi yako imemridhia single mama mchkue,kama tu umeridhia kuishi na hao watoto wake
 
Kwa nini unawatafuta wanawake ambao wamefiwa na wazazi (yatima) au unataka kukwepa mahari?
Anyway Ushimen natumai ulikuwa darasa moja na wazazi wa hawa mabinti ambao jamaa yetu Next King anapanga kuwaoa hebu toa neno moja.
 
Wanawake wote ni sawa awe na PhD awe ni darasa la 7B. Ww cha kushukuru tu mwanamke awe msafi,asiwe mvivu, awe na heshima ajue kupika na ajue kuzungusha kiuno. Tofauti na hapo ww unachotafuta ni kitonga na kwaharaka haraka nikufahamishe hao viumbe hela zao zinabajet sana na ukiila utasimangwa hatare.

Bwana mdogo toka usingizini katafute hela uache upuuzi wa kuwaza kusaidiwa majukumu na mwanamke.
Mwanaume hutakiwi hata kuchukua ushauri kwa mwanamke,mwanamke ndo anatakiwa achukue ushauri kwako hapo utaiona heshima.

Huyo SINGO MAZA kakuzidi akili ndomaana anakuzuzua.Toka kimbia mbio katafute uliyemzidi akili, acha ujinga.
Ni vema kupokea ushauri wa mke. Wewe utoe mwongozo kwa mke na familia yako.
 
Hakuna mke hapo,tafuta ambaye hajazaa,kuhusu akili na hela mtatumia za kwako

Narudia usioe singo maza
Mkuu maelezo niliyoweka hapo nadhani yapo very clear. Imagine ndio wewe sasa na yakupasa ufanye maamuzi kwa kuzingatia hiyo scenario, utafanyaje mkuu. ushauri wako ni muhimu sana
Fuata ushauri hapo juu. Keshakupa
 
A na B yote sio sahihi.

Ongeza sampuli, wadau wamekupatia vigezo
 
Moyo

Jibu langu si la kisayansi lakini; moyo hubeba tafsiri ya hisia,upendo,hasira,huzuni,furaha n.k. Tafsiri hiyo inakuja kuonekana katika matokeo kwa nje,utaonekana au utajihisi kumpenda zaidi fulani kuliko fulani,yawezekana wote wakawa na sifa na vigezo sawa ila ukahisi kuwa unampenda zaidi fulani kuliko fulani au unamchukia zaidi fulani kuliko fulani na ni katika muktadha huo na mimi nimesema ausikilize moyo wake.
Hili ni jibu la kisaikolojia..!!
 
Kuna jamaa yangu alimpeleka ''single maza'' wake kwa wazazi. Baba yake akamwonya kwa kumwambia ''unayoaje mwanamke aliyezaa, huyo aliyemzalisha kwa nini hakumuoa?''. Jamaa akakaidi na kuoa. Walija achana kwani iligundulika baadae kuwa hakuwa ''single maza'' tu bali alikuwa ''double maza'' kwani alikuwa na mtoto mwingine akamficha na alikuwa jeuri kweli kweli ndiyo maana hakuweza kuishi na baba wa watoto aliozaa.
Hawakuachana akiwa triple mother?
 
Naomba ushauri wako kati ya hawa wanawake wawili yupi anaweza kuwa sahihi kwangu?

MWANAMKE WA KWANZA
Ana elimu ya darasa la saba lakini ni mjanja sana maana hata text za kiingereza anajua kusoma na kuandika baadhi ya maneno, amezaliwa 1988 (miaka 36), ana watoto wawili wote wa kike - sio watoto wangu.

Mrefu, mweupe, ana akili ya maisha, anafanya kazi private sekta, na mjasiria mali (anajishughulisha na ufugaji kuku), amepanga anaishi na mtoto huyo mdogo (2 years) na dada wa kazi. Ni msafi, anajipenda, anajua maisha, anaweza ku-plan maisha yake (so far ana kiwanja, na bati kanunua) kifupi ni hayo. Niliwahi kuwa na mahusiano nae hapo awali, baadae nilipotezana nae, nilipokuja kukutana nae ndio akawa na huyo mtoto. Wazazi wake wote wamefariki.

MWANAMKE WA PILI
Ana elimu ya form 4 (division 3 point 25), ni wa mwaka 2000, ana mtoto wa miaka 4 (mtoto wa kike), anaishi na babu na bibi yake - (kwa upande wa mama yake) kwa sababu baba na mama yake walishafariki. Mrefu wastani, maji ya kunde, hana akili ya maisha zaidi ya kujua kupika na kufua na yale mengine ya chumbani (chumbani ni wa moto), ni tegemezi kwa asilimia 100% hata ukimueleza kuhusu kufanya biashara au kumtafutia shughuli ya kufanya anasema yeye kwasasa anataka tu ku-enjoy maisha na kikubwa azae alee familia.

Kwa jinsi alivyo hana matumizi mazuri ya fedha kwa kile apewacho, sijui kama ni akili ya utoto au laaa.

Huyu wa 1988 na huyu wa 2000 tofauti yao ni miaka 12, kwa maana mmoja ni 36 years, na mmoja ni 24 years.

Naomba toa ushauri wako kuhusu mwelekeo wa nani kati ya hawa wawili anaweza kuwa mama bora wa familia.

Akina dada na wamama wa hapa JF, na nyie wanaume kulingana na uzoefu wenu wa maisha , TAFADHALI NAOMBA USHAURI WENU.
Wee a ha ujinga bwana wote hawafai bro...why ukachukue wanawake single mama bro?

Anyways kama ingebidi kuchagua, mzee chukua huyo wa 24. Sii umesema ana uno hatari kitandani. Basi huyo ndio mwenyewe na uzuri yeye anataka azae alee familia.
 
Kuna jamaa yangu alimpeleka ''single maza'' wake kwa wazazi. Baba yake akamwonya kwa kumwambia ''unayoaje mwanamke aliyezaa, huyo aliyemzalisha kwa nini hakumuoa?''. Jamaa akakaidi na kuoa. Walija achana kwani iligundulika baadae kuwa hakuwa ''single maza'' tu bali alikuwa ''double maza'' kwani alikuwa na mtoto mwingine akamficha na alikuwa jeuri kweli kweli ndiyo maana hakuweza kuishi na baba wa watoto aliozaa.
Tatizo vijana wanaleta wanataka kutumia hisia (huruma) kwenye maamuzi muhimu maishani mwako (ndoa)
Wee mechi inaanzaga 0-0. Hakuna chengine zaidi ya hapo. Hizo story za oh sijui wengine wanakuwa wametoa mimba so bora huyu alizaa huo ni upuuzi. Kama alitoa mimba mimi sijui hayanihusu. Muhimu u ao unasoma 0-0
 
Back
Top Bottom