TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Alienda msibani na baada ya mazishi aliongea na aliyekuwa baba mkwe wake face to face, pia later on alikuja kusema kuwa yale mazungumzo na aliyekuwa baba mkwe wake mzee alikuwa na mchanganyiko wa hasira na huzuni(japo according to him wote wawili walikuwa na huzuni).
Sasa blogs na family members walivyoanza kumnyooshea kidole kwenye social media ndiyo naye akawa somehow abajitetea kiaina ila hakuwa akiongea sana(nadhani alishauriwa na lawyers wake kuwa asiongee sana).
Anele(yule binti) alikuwa teja na ameshalazwa mara kadhaa psychiatric ward lakini the fact kwamba baba yake Mr Tembe ni kigogo, mtu maharufu/mashuhuri huko Kwazulu Natal na ni mwanasiasa kigogo ANC hilo linafunikwa sana ndiyo maana hata alipokuwa akidai kuwa binti yake hakujiua wakati yeye hakuwepo habanwi kwamba anauhakika gani kama hakujia na kama hakujiua nani kamuua. AKA ni kama alijisahau ila alijua kuwa Wazulu hawakubali kama Anele alijiua ukizingatia demu alitumia baadhi ya rafiki zake videos wakigombana muda mchache kabla ya kifo chake.

Halafu baba anasema Anele hakujiua
So it seems she did that under drug influence

Na AKA alikapenda hivyohivyo dah na kalikuwa kanatishia kujiua mara nyingi
 
Kama umeishi SA nathani unajua ya kuwa hakuna sehemu salama hasa ukiwa unawindwa au una beef na mtu/watu, ile barabara ni maarufu sana na haikuwa Gauteng bali ilikuwa Kwazulu Natal lakini hata uwe Long road(CT) au Table View yaani popote any shit can happen to you at any unexpected moment.
Florida road ni popular road CCTV cameras za kumwaga lakini muhuni kashuka kwenye gari akambatua at a very close range.
kina clip inaonesha anashuka kwenye gari ? mbona wale jamaa wote wawili wametokea upande wa pili wa barabara na walivyokimbia walirudi kule walipotokea
 
Kuna watu ukiwatazama tu usoni wanaonekana hulka yao kwa kuwatizama kwenye macho tu, huyu AKA alionekana km muhuni, tozi, bandidu, kiburi na mwenye majivuno, kuuawa kwa kupigwa risasi ilikuwa inajionyesha kabisa usoni mwake kwa watu wenye kipaji cha kuona hicho walikiona ndo maana imekuwa kama utabiri kutimia

Mwingine ni yule mama wa kinigeria aliyeimba ekwueme, ule wimbo na sauti yake ukisikia ni km ina majonzi kwa aliyokuwa akipitia wakati ule, mara ya kwanza mi kuusikia nilihisi kitu km hicho na kuna kitu kilinambia atakufa kwa kipigo cha mumewe ila nilipuuzia kwa kudhani nimetekwa na hisia za wimbo tu,, kilichotokea sasa,,,,
Manabii wa JF hawatabiri jambo mpak kwanza litimie
 
KaZinguana na kina nani tena mwamba!!!?
Sio kuzinguana hiyo ni pay back maana nadhani mwaka jana alikuwa na demu kwenye appartment sasa haijulikani ilikuwa yule demu akaanguka kutoka juu mpaka chini na kufa na alikuwa na huyo jamaa na jamaa akazingia kwamba ameanguka bahati mbaya tu...Si unaona sasa hapo watu wamelipiza sasa...
 
Mazishi yake lini?.Nataka niende ili nkawaletee ushahidi tufunge huu mjadala,kutoka nilipo ni bus tu nafika south africa
 
Sio kuzinguana hiyo ni pay back maana nadhani mwaka jana alikuwa na demu kwenye appartment sasa haijulikani ilikuwa yule demu akaanguka kutoka juu mpaka chini na kufa na alikuwa na huyo jamaa na jamaa akazingia kwamba ameanguka bahati mbaya tu...Si unaona sasa hapo watu wamelipiza sasa...
Hyo ni tetesi tuu bado sababu kamili haijajulikana unless wauaji watoe press kwamba Sisi ndo tumehusika na mauaji na sababu ni hii , kama wanavyofanya taleban , alishabab , n.k
 
kina clip inaonesha anashuka kwenye gari ? mbona wale jamaa wote wawili wametokea upande wa pili wa barabara na walivyokimbia walirudi kule walipotokea
Sikuwa Sauz wakati wa tukio lakini ukifuatilia watu wanaohojiwa(eye witnesses) ndiyo wanadai hivyo na ujue ile barabara imenyooka hauwezi kum-shoot mtu unaondoka kwa kukimbia, hata gateway car lazima baada ya mwendo mfupi itemwe waingie kwenye nyingine(that's how they normally do it).
-So kwenye hilo we can't be 100% sure mpaka footages za CCTV cameras zitakapokuwa kwenye mitandao.
 
Kulikuwa na backup ili kumlinda assassin Incase of anything ili haweze ku'escape haraka eneo la tukio kwasababu walihisi uenda mmoja wao anaweza kuwa na silaha aka react halafu muuaji akajeruhiwa au kuuliwa hivyo ikaleta shida mbeleni sasa ili kufanya "Mission to kill" iende kama ilivyopangwa lazima backup iwepo kwani assassination inahitaji uharaka wa kutenda na kupotea eneo la tukio kama mtekelezaji alivyosepa na inaonyesha ni muuaji mzoefu sana

"One shot, man down, game over"

Unaweza kuta alishasepa zake usiku ule ule Swaziland au Mozambique yupo zake Anantara Medjumbe Hotel katulia kimyaa time hii anashushia mvinyo anasubiri msala upoe...[emoji23]
Aiseeee....
 
Mtu akinambia South Africa me naona kama ananitajia Mexico maeneo ya Medellin au Colombia. Ile mitaa ya madrug lord. Hili taifa lina mambo ya ajabu sana halafu ni kama marekani imehamishiwa afrika.

Ushoga wamehalalisha wazi wazi bila kificho, mauwaji ni ya kikatili na ya wazi wazi unakutana na kibaka akisema nipe simu yako na wallet ukibishana nae akikutolea kisu jua ni aidha akuchome akuue au umuwahi kumkabiri na ni ghafla bin vuup. Majitu kama yana laana vile hayo. Mxieew.
 
Uhuru wa kumiliki silaha za moto ukizidi ndiyo matokeo yake.
Nawaambia hapa bongo serikali wanavyopambana kuzuia matumizi holela ya silaha wanasaidia sana. Tukemee sana tusijefika huko. Akitokea kiongozi au mbunge akaleta huo ufala wa maboresho ya sheria iruhusu kuwe na umiliki wa silaha wa wazi wazi then watu wataanza kubatuana mchana kweupe kwa visa vya kipuuzi kama mapenzi, sijui kukoseana heshima yaani ujinga ujinga tupu.
 
Pay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Kwamba alimsukuma girlfriend wake tokea ghorofa, haikuwa suicide?
 
Jamaa alijitengenezea kifo chake mwenyeweee....
View attachment 2513328

View attachment 2513329
Sasa na yeye alikuwa na haja gani ya kumpiga mateke fan wake ambaye amekuja kwenye jukwa kwasababu ya furaha ya kumuona jamaa. Angeruka nae na kumuimbisha na kumruhusu au kumuelekeza kushuka kwenye stage kwanza wale stage guards wangekuja mtoa hakuwa na haja ya kumpiga mateke na kumsukuma vibaya hivyo.

Huyu inawezekana kuwa ni kweli alimsukuma yule binti.
 
Pay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Najaribu ku relate na girlfriend kifo chake kilivyokuwa maana kilikuwa ni utata inasemekana alichangia, lakini cha kushangaza sioni wasanii wenzake kama wameguswa watu kama kina Cassper na hata demu aliyezaa naye Dj Zinhla. Kuna kitu kimejificha.
 
Najaribu ku relate na girlfriend kifo chake kilivyokuwa maana kilikuwa ni utata inasemekana alichangia, lakini cha kushangaza sioni wasanii wenzake kama wameguswa watu kama kina Cassper na hata demu aliyezaa naye Dj Zinhla. Kuna kitu kimejificha.
Labda mkuu ila mzazi mwenzie na marehemu alienda kuhani msiba
 
Back
Top Bottom