Kwamba alimsukuma girlfriend wake tokea ghorofa, haikuwa suicide?
Hii ni cold case kama ya mh.Lissu, ila huyu hakuwa girlfriend, alikua ni fiancee mkuu na AKA alikua mtu wa mwisho kuwa nayeilikuwa 11 April, naye AKA ameuliwa 11Feb, fiancee wake kafa in cape Town (home town ya AKA),Naye AKA kauliwa Durban (home town ya fiancee wake),