Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao uliowataja hapo ni kina nani?O my G I can't believe Run Jozi is no more.
Naona Nnandi Mngoma, Khuli chana, K.O na rafiki yake wa damu DaLes wamepost😢😢😢
RIP Sir.
Wasalimu Magesh, Ricky Ricky na Bojo Mujo huko uendako.
View attachment 2513188
Sasa HamoRapa atatoa wapi hela ya ulinzi? Lazima wauwawe tu.Daaaah sijui kwann wanamxiki wanauwawa hivi loss of security ni shida sana ndo maana wakina jay z Beyonce kanye mark na matajiri wengine wameinvest sana kwenye security loooh 35 was still young r.i.p kamsalimie
🛫 Mzee
Huyo ni handsome hata enzi za uhai wakeTukishakufa ndo tunakuwa mahandsome...tukiwa hai sura za mbuzi
Duuhh! Aiseehh nilikuwa sijui niliona habari juu kwa juu tu. Ni hatari sana!Yule alikuwa na uchizi wake miaka 22 ushaenda rehab mara kibao
Una date na msanii tena mkubwa unategemea uwe na amani ya moyo
Kama wamemuua kisa mtoto wa totally wrong sababu habari zinasema yule msichana ashawahi jaribu kujiua mara nyingi
Na watu wengi drug addicted wana hizi mambo
Ohh kumbe, sikuona nilijaribu tu kuangalia page yake maana nilitamani kubalance story na marehemu ila insta story sikuchungulia.DJ Zinhla insta story yake imejaa picha za AKA na mwanae
Halafu inasemekana aliyemtungua ni demu
Sawa, sawa mkuu.Labda mkuu ila mzazi mwenzie na marehemu alienda kuhani msiba
SA, Namibia na nchi zote za kusini mwa Afrika kwa ujumla mixed hawatambuliki kama blacks, hiyo iko US/Canada and Europe.Sasa unamuona yule mzungu au mhindi??? Mixed races wanatambulika ni BLACK.
Really?? Basi huku US mixed races wote wapo kundi moja na blacks, Weupe ni wao tu na hata Europe ndio hivyo hivyo. Hao waturkish, Wa portuguese, Wa spanish wala na wao hawatambuliki ni white, wanatambulika kama Mediterranians , Wao mweupe/white ni hawa wanakua wa kama rangi ya pink vile. Ila hata hao ma rangirangi wenyewe tu wanajiona ni weusi zaidi kuliko kua weupe. Ukiwa rangi rangi halafu ukajifanya wewe mweupe kuna jina lao la slang wanaitwa " Choc Ice".SA, Namibia na nchi zote za kusini mwa Afrika kwa ujumla mixed hawatambuliki kama blacks, hiyo iko US/Canada and Europe.
Kusini mwa Afrika Angola/Mozambique mixed race wanaitwa mulatto/mulatta na English speaking countries za Southern Africa they're categorized as 'coloureds' au kama Waswahili wanaoshi ambavyo huwaita 'marangirangi'.
Apartheid regime categorization was very different na ya nchi za Wazungu wa Ulaya na US/Canada hiyo iliambukiza nchi zote za kusini mwa Afrika na Wareno nao walikuwa na categorization almost similar na ya Makaburu.
So AKA kwa SA ni coloured na si black, blacks ni wale ambao hawajachanga kabisa(kwa kusini mwa Afrika) na races nyingine.
Yeah [emoji106][emoji106], it's very different in the US and Canada.Really?? Basi huku US mixed races wote wapo kundi moja na blacks, Weupe ni wao tu na hata Europe ndio hivyo hivyo. Hao waturkish, Wa portuguese, Wa spanish wala na wao hawatambuliki ni white, wanatambulika kama Mediterranians , Wao mweupe/white ni hawa wanakua wa kama rangi ya pink vile. Ila hata hao ma rangirangi wenyewe tu wanajiona ni weusi zaidi kuliko kua weupe. Ukiwa rangi rangi halafu ukajifanya wewe mweupe kuna jina lao la slang wanaitwa " Choc Ice".
Yeah [emoji106][emoji106], it's very different in the US and Canada.
Naifatilia sana hii murder case sijasikia mtu yoyote kukamatwa.Wale jamaa watakua ni professional hitman maana walivyotoweka pale inawezekana kabisa kuna gari ilikua inasubiri na haikuonekana kwa CCTV, ngoja MONSTER labda atakuja kueleza maana inaonekana anaijua sana South Africa na hayo maeneo. Haya mauaji yamenikumbusha yale mauaji ya aliekua Waziri Mkuu wa Japan, Enzo Abe, jamaa nae alimbutua risasi kwa karibu kabisa ile anataka kuchomoka tu walinzi weshamdaka na silaha yake.Hivi hakuna alokamatwa ?any update?
Naifatilia sana hii murder case sijasikia mtu yoyote kukamatwa.Wale jamaa watakua ni professional hitman maana walivyotoweka pale inawezekana kabisa kuna gari ilikua inasubiri na haikuonekana kwa CCTV, ngoja MONSTER labda atakuja kueleza maana inaonekana anaijua sana South Africa na hayo maeneo. Haya mauaji yamenikumbusha yale mauaji ya aliekua Waziri Mkuu wa Japan, Enzo Abe, jamaa nae alimbutua risasi kwa karibu kabisa ile anataka kuchomoka tu walinzi weshamdaka na silaha yake.
Daah noumer, ila kuua mtu na pistol kwa ukaribu vile lazima uwe umepiga msuba aka mjani aka ganja aka bangi..hamna mbongo mwenye roho ngumu kama wasouth angemfanyizia mwigulu - jamaa simpendi yule kwa madharau yake.Duuu hata yule Don design
Daah noumer, ila kuua mtu na pistol kwa ukaribu vile lazima uwe umepiga msuba aka mjani aka ganja aka bangi..hamna mbongo mwenye roho ngumu kama wasouth angemfanyizia mwigulu - jamaa simpendi yule kwa madharau yake.
Bado, ingekuwa imeshasikika. Huwa wana mtindo wa kufanya upelelezi 'kisailensa'. Ngoja tuone manake kesi(wakikamatwa wahusika) itakuwa inatolewa macho sana na vyombo vyao vya habari.Hivi hakuna alokamatwa ?any update?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah noumer, ila kuua mtu na pistol kwa ukaribu vile lazima uwe umepiga msuba aka mjani aka ganja aka bangi..hamna mbongo mwenye roho ngumu kama wasouth angemfanyizia mwigulu - jamaa simpendi yule kwa madharau yake.
Bado, ingekuwa imeshasikika. Huwa wana mtindo wa kufanya upelelezi 'kisailensa'. Ngoja tuone manake kesi(wakikamatwa wahusika) itakuwa inatolewa macho sana na vyombo vyao vya habari.