[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2520690
Wasouth wana roho ngumu hivi analala kabisa usiku kwa amani au kuna vitu anatumia
Wazazi wanavyolia vile halaf baba ake Aka anaonekana mpole sana sana maskin anatabasam tu halaf anakaa kimyaa
Ila don design alikuepo msibani
Hii video iliyoletwa humu umechukuliwa kwa simu au naona vibayaNaifatilia sana hii murder case sijasikia mtu yoyote kukamatwa.Wale jamaa watakua ni professional hitman maana walivyotoweka pale inawezekana kabisa kuna gari ilikua inasubiri na haikuonekana kwa CCTV, ngoja MONSTER labda atakuja kueleza maana inaonekana anaijua sana South Africa na hayo maeneo. Haya mauaji yamenikumbusha yale mauaji ya aliekua Waziri Mkuu wa Japan, Enzo Abe, jamaa nae alimbutua risasi kwa karibu kabisa ile anataka kuchomoka tu walinzi weshamdaka na silaha yake.
Yeah, hitman obviously alikuwa ni professional. Very likely itakuwa amekodiwa maana alihakikisha anambatua at a very close range ili ahakikishe mlengwa wake anakufa hapohapo, yaani kamdungua za kichwa.Naifatilia sana hii murder case sijasikia mtu yoyote kukamatwa.Wale jamaa watakua ni professional hitman maana walivyotoweka pale inawezekana kabisa kuna gari ilikua inasubiri na haikuonekana kwa CCTV, ngoja MONSTER labda atakuja kueleza maana inaonekana anaijua sana South Africa na hayo maeneo. Haya mauaji yamenikumbusha yale mauaji ya aliekua Waziri Mkuu wa Japan, Enzo Abe, jamaa nae alimbutua risasi kwa karibu kabisa ile anataka kuchomoka tu walinzi weshamdaka na silaha yake.
Yeah, hitman obviously alikuwa ni professional. Very likely itakuwa amekodiwa maana alihakikisha anambatua at a very close range ili ahakikishe mlengwa wake anakufa hapohapo, yaani kamdungua za kichwa.
Professional assassins huwa majonzi ya wafiwa siyo shida zao, mpaka kupewa contract kama hiyo(kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa) inamaana ameshaua sana na tena huwa anaua with efficiency.Sasa hivi akiangalia yule mtoto anavyolia sijui anajisikiaje sijui kalipwa ngapi Yaan nataman kujua kamuua kwa sababu gani
Na yule mwingine mazish lini?
Professional assassins huwa majonzi ya wafiwa siyo shida zao, mpaka kupewa contract kama hiyo(kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa) inamaana ameshaua sana na tena huwa anaua with efficiency.
.Mbona hamuweki mazish yake jamani
Tukuweke badala yake?Kabur lake zurii
Tukuweke badala yake?
Km kaka akeView attachment 2519504
View attachment 2519505
AKA anafanana na baba yake hadi kunyoa jamani na baba nae anaonekana msela kweli halaf yupo calm
Mwigulu siku akihitiwa tutashangilia[emoji16][emoji16][emoji16]Daah noumer, ila kuua mtu na pistol kwa ukaribu vile lazima uwe umepiga msuba aka mjani aka ganja aka bangi..hamna mbongo mwenye roho ngumu kama wasouth angemfanyizia mwigulu - jamaa simpendi yule kwa madharau yake.
Hiii Dunia hii..MUNGU atusaidie unaua mwanadamu mwenzio kama nyokaProfessional assassins huwa majonzi ya wafiwa siyo shida zao, mpaka kupewa contract kama hiyo(kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa) inamaana ameshaua sana na tena huwa anaua with efficiency.
Wanaumia mnooo afu Bado mdogo watu wakatili Sana hawana hurumaNimewahurumia jamani baba ake kuna muda anatabasam