TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Wasouth wana roho ngumu hivi analala kabisa usiku kwa amani au kuna vitu anatumia
Wazazi wanavyolia vile halaf baba ake Aka anaonekana mpole sana sana maskin anatabasam tu halaf anakaa kimyaa

Hii ni kwa sababu waliko toka, mateso ya makaburu, baada ya miaka 40 ya uhuru wao geration itakayo kuja wataanza kuwa na utu!
Lakini ukatili wao hawa wafikia waarabu, wahindi na wapakistani hapo acha tu!
 
Hii video iliyoletwa humu umechukuliwa kwa simu au naona vibaya
 
Yeah, hitman obviously alikuwa ni professional. Very likely itakuwa amekodiwa maana alihakikisha anambatua at a very close range ili ahakikishe mlengwa wake anakufa hapohapo, yaani kamdungua za kichwa.
 
Yeah, hitman obviously alikuwa ni professional. Very likely itakuwa amekodiwa maana alihakikisha anambatua at a very close range ili ahakikishe mlengwa wake anakufa hapohapo, yaani kamdungua za kichwa.

Sasa hivi akiangalia yule mtoto anavyolia sijui anajisikiaje sijui kalipwa ngapi Yaan nataman kujua kamuua kwa sababu gani
Na yule mwingine mazish lini?
 
Sasa hivi akiangalia yule mtoto anavyolia sijui anajisikiaje sijui kalipwa ngapi Yaan nataman kujua kamuua kwa sababu gani
Na yule mwingine mazish lini?
Professional assassins huwa majonzi ya wafiwa siyo shida zao, mpaka kupewa contract kama hiyo(kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa) inamaana ameshaua sana na tena huwa anaua with efficiency.
 
Professional assassins huwa majonzi ya wafiwa siyo shida zao, mpaka kupewa contract kama hiyo(kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa) inamaana ameshaua sana na tena huwa anaua with efficiency.

Mbona hamuweki mazish yake jamani
 
Daah noumer, ila kuua mtu na pistol kwa ukaribu vile lazima uwe umepiga msuba aka mjani aka ganja aka bangi..hamna mbongo mwenye roho ngumu kama wasouth angemfanyizia mwigulu - jamaa simpendi yule kwa madharau yake.
Mwigulu siku akihitiwa tutashangilia[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Professional assassins huwa majonzi ya wafiwa siyo shida zao, mpaka kupewa contract kama hiyo(kama ni kweli ndivyo ilivyokuwa) inamaana ameshaua sana na tena huwa anaua with efficiency.
Hiii Dunia hii..MUNGU atusaidie unaua mwanadamu mwenzio kama nyoka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…