Hivi ni kweli alipigika kiasi hicho? Maana wanasema aliuza kopi za muziki wake zaidi ya 10m
In God we Trust
Mungu amuweke mahali pema peponi
huyu jamaa Aurulus Mabele, Diblo alimuita Brussel kutoka Congo Brazaville na wakashirikiana naye katika Bendi ya LOKETO (mahips/wowowo) baadaye akavuma zaidi yeye km muimbaji, nasikia mapato Diblo ndipo alipomzidi kete.
Diblo Dibala (born 9 August 1954), often known simply as
Diblo, is a
Congolese soukous musician,
[1] known as "Machine Gun" for his speed and skill on the
guitar. In the mid-1980s, he formed his own band,
Loketo (meaning 'hips'), with singers Aurlus Mabele and Mav Cacharel. A few years later, that band broke up, and in 1990 he formed a new group,
Matchatcha, which is still active after a number of personnel changes.
Diblo akamtema Mabele mwaka 1990 na kuunda Matchatcha
lkn Wikipedia wametupa mwanga
Aurlus Mabele - Wikipedia, kamusi elezo huru