TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Kwa hio JF source yetu ni DJ fetty?
 
Kuna jamani waligombana na demu wake ilikuwa 2013/2014 Tabata bima sasa mwamba ni kama aligoma kumpa kitu fulani(fedha) yule mwanamke, jamaa akaanza kuondoka ndipo yule demu akaanza kupiga kelele kuwa ni mwizi mwamba alirudi haraka na kumtandika makofi.
Tukasema wanawake ni wauaji sana
 
NDIO NIMEKUMBUKA KISA CHANGU
Niliwahi kuitiwa mwizi maeneo ya manzese miaka mingi Sana nyuma.......japokuwa nilinusurika lakini nilivimba uso kwa kile kipigo......

Nilikuwa nachagua mtumba pamoja na wanunuzi wengine sasa ule mbanano na songombingo nikajikuta nimeugusa mkoba wa mama mmoja hivi kwa bahati mbaya......

Yule mama akaniitia mwizi kufumba na kufumbua naanza kupokea ngumi kwa kasi ya ajabu Sana....kwa bahati nzuri kuna baadhi ya waungwana wakawa wanasikia kilio changu wakanielewa.....ilikuwa nakufa pale pale.......

REST IN PEACE......MAN DOJO
 
Duh inabidi wananchi wapunguze hasira
 
John walker naye alikufa kifo kibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…