Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Hata kama alitakiwa apelekwe hospital hata wangemfunga pingu sawa sio kukaa naye hapo polisi, halafu hospital ya general mbona iko karibu kabisa na central polisiUzembe wa polisi kivipi kwani Polisi walimchukua akiwa anavuja damu wakaenda kumuweka lockup akafia kituo cha polisi?
Inauma, hilo tatizo la afya ya akili limekuwa suguSo alikua ana changamoto ya afya ya akili..duuhh inasikitisha sana
DuhKweli mkuu tusubiri. Kuna taarifa nyingine inasema alipigwa na walinzi wa kanisa katoliki.
Huyu jamaa sijui ni kwamba alikua na bahati mbaya au vp, Coz kuna Nyumba yake alijenga kule Mbweni ikaja kuvunjwa sikujua sababu hasa ni nini, Lakini pia jamaa alikua mpambanaji sana, Alikua na goli lake pale K.koo mtaa wa kongo, alikua anauza viatu vya wadada, na ukimkuta pale usanii na ustar anauweka pembeni anapiga kazi kweli kweli
Anyway Amepumzike kwa Amani kifo chake kinasikitisha sana, Inanikumbusha kifo cha Steve 2K aliyekufa kwa kuchomwa kisu na Producer Casto ponela, na Kifo cha john walker aliyekufa akiwa Gereji
View: https://youtu.be/_0xGY0FllGE?si=jBR-YxS9VzeFwdHo
Feel the Track.
Dodoma matukio ya kuuana ni mengi sana unreported.
Wiki iliyopita vijana watatu wamefariki kifo cha ajabu wakiwa ni MaDJ kwenye music wa kifamilia Mkesha wa Harusi kule Mlowa Mvumi Wilaya ya Chamwino.
Natamani Steve 2k angekuwepo maana yeye ndio mchizi wangu kama pingu na denso majaribu ya leo sio majibu ya kesho alini introduce kwa Castro producer alifanya dotcom free Castro Ponera watu wake wa jela wanasema huyu mchizi ana flowNa kifo cha faza nelly alichomwa visu kifuani. Tunapoteza watu wengi wazuri
Karma itakuwa ishafanya yakeHii inanikumbusha jamaa zangu 2 mtu na mdogo wake walikula kichapo na kumwagiwa wese na kupigwa kiberiti wakituhumiwa ni wezi. Huku wezi ndio waliowaitia watu baada ya kushindwa kuwapora.
Mambo ya kuua wezi ni ya kupumbavu, ya Dunia ya wajinga
Pole hauko pekeako baadhi ya watu wanajua hivyo🙏 Miaka yote namjua yule mwembamba ndiyo Mandojo😥😥
Hapana mke wake alikuwa nyumbani wanasema aliingia kanisani ndio akapigwa na walinzi wa RomaKwa maelezo inaonesha ni demu wake ndo kamuitia mwizi huenda baada ya kupishana
Yesu ni mwamba walinzi wa nini kanisani?Hapana mke wake alikuwa nyumbani wanasema aliingia kanisani ndio akapigwa na walinzi wa Roma
Noma sana
View: https://youtu.be/_0xGY0FllGE?si=jBR-YxS9VzeFwdHo
Feel the Track.
Dodoma matukio ya kuuana ni mengi sana unreported.
Wiki iliyopita vijana watatu wamefariki kifo cha ajabu wakiwa ni MaDJ kwenye music wa kifamilia Mkesha wa Harusi kule Mlowa Mvumi Wilaya ya Chamwino.
Yule aliyemchoma kisu faiza newlyNa kifo cha faza nelly alichomwa visu kifuani. Tunapoteza watu wengi wazuri
View attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
View attachment 3066818
Mungu ailaze mahali pema peponi nafsi yake Bwana alitoa Bwana ametwaa.
===
Msanii wa Bongo fleva Mandojo amefariki dunia asubuhi ya leo August 11 2024, akiwa Jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa habari za awali Mandojo amefariki kwa kupigwa na wananchi waliodhani kuwa ni mwizi baada ya kutokea mtafaruku kati yake na mtu ambae ndio aliemuitia mwizi.
"Nimeongea na Domokaya analia tu hawezi hata kuongea vizuri, anasema tu Mandojo, Mandojo Soggy Doggy Anter ambae nimeongea nae na kuthibitisha kutokea kwa msiba huu. Innalillahi wa inna ilayhi rajiun
Tunaendelea kufatilia taarifa zaidi
DJ FETTY
Dah kitambo sana kuna mshikaji alikuwa na demuwanachuo pale mabibo hostel sasa akagombana nae siku ameenda hostel kumcheki demu akamuitia mwizi...mchizi alichapika kinoma mpk baadae watu kuja kujua jamaa alikuwa basha wa yule manzi...!Kwani yule mwanafunzi wa chuo
Aliyeitiwa mwizi na dem wake alikuwa mwizi!
Hii dunia uwanja wa fujo mzee
Ova
Trur brother mi pia mmejifunza hapaDah.. Apumzike kwa amani.
Niliwahi ibiwa nikasema nikikuta mwizi anapigika sehemu simuachi, ila kwa hili nimejifunza, unaweza ua mtu wakati hana hatia..
Nawaza umekosana na mtu kariakoo akakuitia mwizi, UMEISHA.