TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Juzi niliona clip ya mwizi anachomwa moto wakati walishampiga na hawezi hata kukimbia. Nikakemea sana sana kile kitendo lakini kuna watu wengi wengi sana walikuwa wanafurahia na kuhoji, ''umeshawahi kuibiwa wewe?''. Ni masikitiko sana kuona dunia ya yale mtu anaweza kuuawa katika mazingira kama haya. Kna watu wengi tu wameshawahi kuuawa kwa kudhaniwa ni wezi kumbe siyo.
 

Kwani waliokuwa wanahalalisha panya road kuuwawa kwa kuhisiwa tu, hadi hapa wanasema je?
 
Inavosemekana jamaa kumbe alikuwa na afya ya akili na waliompiga
Kwanza jeshi la polisi, libebe lawama, inakuwaje mtu kapigwa, hali mbaya na anavuja damu nyie mnakaa nae tu ndani? Hili ni kosa, ni uzembe.

Ndugu walijua ndugu anapiga maji anakuwa miyeyusho walichukua hatua yoyote msela aache pombe.

Mchizi alikuwa na bahati mbaya, miaka kadhaa nyuma niliona kabomolewa nyumba yake na mtu aliekuwa anagombea nae eneo, kitu kama hicho.
 
Ushimen again brother,
Ushimen sorry brother, classmate wanapukutika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…