TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

Uzembe wa polisi kivipi kwani Polisi walimchukua akiwa anavuja damu wakaenda kumuweka lockup akafia kituo cha polisi?
 
Hata kama una machungu ya kuibiwa ni kotu gani hicho ulichoibiwa mpaka uone sawa mwenzako kuchomwa mtoto.! Vyombo husika vianze kuchukulia siriaz kuwashughulikia wanaofanya haya matukio,
 
Uzembe wa polisi kivipi kwani Polisi walimchukua akiwa anavuja damu wakaenda kumuweka lockup akafia kituo cha polisi?
Umesikia hiyo clip? UMESIKILIZA, jamaa wamemkuta kesho yake kitu cha polisi hali mbaya saana, mguu wake wa kulia ukivuja damu, na hapo kituo cha polisi alipelekwa toka jana usiku.. Sasa hapo kwanini wasilaumiwe wanakaaje na mtu anavuja damu na hali yake ni mbaya?
 
Tatizo kila mtu anatoa taarifa zake , mandojo amepigwa asubuhi ya leo, jana hajalala kwake leo asubuhi kuna kanisa aliingia akafanya fujo, Mandojo huwa hanywi pombe akinywa huwa anakua kama amedata sasa inasemekana alikunywa pombe ikamletea shida ndo akaanza kuzingua ndo sababu iliyopelekea akapigiwa kelele za mwizi, kapigwa leo asubuhi polisi alipitishwa kuchukua pf3 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…