Uzembe wa polisi kivipi kwani Polisi walimchukua akiwa anavuja damu wakaenda kumuweka lockup akafia kituo cha polisi?Kwanza jeshi la polisi, libebe lawama, inakuwaje mtu kapigwa, hali mbaya na anavuja damu nyie mnakaa nae tu ndani? Hili ni kosa, ni uzembe.
Ndugu walijua ndugu anapiga maji anakuwa miyeyusho walichukua hatua yoyote msela aache pombe.
Mchizi alikuwa na bahati mbaya, miaka kadhaa nyuma niliona kabomolewa nyumba yake na mtu aliekuwa anagombea nae eneo, kitu kama hicho.
Hata kama una machungu ya kuibiwa ni kotu gani hicho ulichoibiwa mpaka uone sawa mwenzako kuchomwa mtoto.! Vyombo husika vianze kuchukulia siriaz kuwashughulikia wanaofanya haya matukio,Juzi niliona clip ya mwizi anachomwa moto wakati walishampiga na hawezi hata kukimbia. Nikakemea sana sana kile kitendo lakini kuna watu wengi wengi sana walikuwa wanafurahia na kuhoji, ''umeshawahi kuibiwa wewe?''. Ni masikitiko sana kuona dunia ya yale mtu anaweza kuuawa katika mazingira kama haya. Kna watu wengi tu wameshawahi kuuawa kwa kudhaniwa ni wezi kumbe siyo.
Wewe unaleta utani mwizi kama kweli kaiba inabidi achomwe moto fastaHata kama una machungu ya kuibiwa ni kotu gani hicho ulichoibiwa mpaka uone sawa mwenzako kuchomwa mtoto.! Vyombo husika vianze kuchukulia siriaz kuwashughulikia wanaofanya haya matukio,
Unajiridhishaje kama kweli kaiba na wewe umekuja tu hapo baada ya kusikia makelele ya mwiziWewe unaleta utani mwizi kama kweli kaiba inabidi achomwe moto fasta
Tetesi zinadai kauwawa na wananchi wakidhani ni mwiziJazia nyama kidogo basi ,,, alikuwa anaumwa au ajali ???.. hivi kati ya mandojo au domokaya yupi hasa alofungua mradi wa soko ??..
Siwezi piga mtu ambaye sijajiridhisha kwani Mimi Sina akili timamu au wewe ndio mwizi mwenyeweUnajiridhishaje kama kweli kaiba na wewe umekuja tu hapo baada ya kusikia makelele ya mwizi
KAuwawa na wananchiMkuu kwani kifo cha Mandonjo chanzo ni nini?
Umesikia hiyo clip? UMESIKILIZA, jamaa wamemkuta kesho yake kitu cha polisi hali mbaya saana, mguu wake wa kulia ukivuja damu, na hapo kituo cha polisi alipelekwa toka jana usiku.. Sasa hapo kwanini wasilaumiwe wanakaaje na mtu anavuja damu na hali yake ni mbaya?Uzembe wa polisi kivipi kwani Polisi walimchukua akiwa anavuja damu wakaenda kumuweka lockup akafia kituo cha polisi?
Sasa toka lini mandojo akawa na rastaMarasta machafu lazima uitwe mwizi
Mandojo alifanya powa sana miaka gani?Mimi zamani nilikua najua Mandonjo na Domokaya ni ndugu wa damu! Hawa jamaa walikua na urafiki wa kweli kabisa,hakuna bifu wala nini,pia nyimbo zao licha ya kuburudisha,pia zilikua na mafundisho mazuri sana,
Rest easy Legendary.
Palitokea Nini?Kifo cha john walker aliyekufa akiwa Gereji
Tunataabikaaa, tunasulubikaaaaMkuu umenikumbusha ule wimbo wao wanaimba "Tuna hasira kama vile tumemwagiwa maji ya betri"
Umesoma tu kichwa cha habari chap ukawahi kucoment uwe wa kwanza...dah ni huzuni sanaJazia nyama kidogo basi ,,, alikuwa anaumwa au ajali ???.. hivi kati ya mandojo au domokaya yupi hasa alofungua mradi wa soko ??..
Tatizo kila mtu anatoa taarifa zake , mandojo amepigwa asubuhi ya leo, jana hajalala kwake leo asubuhi kuna kanisa aliingia akafanya fujo, Mandojo huwa hanywi pombe akinywa huwa anakua kama amedata sasa inasemekana alikunywa pombe ikamletea shida ndo akaanza kuzingua ndo sababu iliyopelekea akapigiwa kelele za mwizi, kapigwa leo asubuhi polisi alipitishwa kuchukua pf3 tuUmesikia hiyo clip? UMESIKILIZA, jamaa wamemkuta kesho yake kitu cha polisi hali mbaya saana, mguu wake wa kulia ukivuja damu, na hapo kituo cha polisi alipelekwa toka jana usiku.. Sasa hapo kwanini wasilaumiwe wanakaaje na mtu anavuja damu na hali yake ni mbaya?
🎶Baba mbona umenikimbia aaaah!.DINGI.