Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Huyu wamfanyizie assacination maana alishazowea kuua huyu na kujifanya hajulikani
 
View attachment 2113028

Huyu wa kulia ndiye aliyemtisha Nape Nnauye kwa bastola hadharani mchana kweupe kwa jeuri ya JPM! Muwe mnajiongeza. Hawa watawala mnaowatetea kwa gharama yoyote wanapita.
Tena akapandishwa cheo na kuwa OC-CID Mtwara.
Hawa ndo wale wasiojulikana (Kitengo X) kitengo cha Hali ya Usalama wa nchi kilicho chini ya DCI.
Na kipindi hicho DCI alikua mjeshi sio polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…