Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.


View attachment 2097976
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202


Wasiojulikana wanaendelea kujulikana .

View attachment 2097971



View attachment 2097979
Tutolee ujinga hiyo picha ya kwanza tunaona matako na mgongo na hii unatuonyesha sura na jina,
Mbona zamani hukutaja jina na sura ya huyo askari mpaka iwe leo?

Tutaaminije kama ndie au siye?
 
Tutolee ujinga hiyo picha ya kwanza tunona matako na mgongo na hii unatuonyesha sura na jina,
Mbona zamani hukutaja jina na sura ya huyo askari mpaka iwe leo?

Tutaaminije kama ndie au siye?
Wewe ndio mjinga na mpashkuna.

Screenshot_20220128-063934.png
 
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.


View attachment 2097976
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202


Wasiojulikana wanaendelea kujulikana .

View attachment 2097971



View attachment 2097979
Huyu na wale sita wa Kesi ya Mbowe lazima atakuwa na uhusiano nao tu.
 
Sirro ni IGP wa hovyo haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania. katika kipindi chake raia wengi wameumizwa na kupotea.
Vyombo collateral mbona havikuchukua advance responsibility kama Polisi walishindwa?
 
IGP Sirro aliwahi kusema mtu huyo alikimbia na Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta. Amesema kuonekana kwa picha za mtu huyo haina maana kwamba atapatikana kwa urahisi hivyo jeshi hilo linaendelea kumtafuta.

“Mheshimiwa Nape amefungua kesi. Ujue picha kuonekana haina maana kwamba yule mtu ataonekana kirahisi lakini upelelezi unaendelea kumtafuta aliyefanya tukio hilo. Wananchi watusaidie, maana suala la kumpata mhalifu ni ushirikiano, sisi tunaenda kwa taarifa, bila taarifa ya uhakika hatuwezi kufanikiwa,” amesema.

Kumbe baada ya tukio wakampeleka Mtwara halafu akaenda kujiongelesha Mtwara.
Mara nyingi huwa nasema Siro ni gaidi.
Yaani ukikumbuka alivyo mkana huyu askari huwezi amini kwamba alijuwa polisi.
Siro ana takiwa kuwa magereza.
 
IGP Sirro aliwahi kusema mtu huyo alikimbia na Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta. Amesema kuonekana kwa picha za mtu huyo haina maana kwamba atapatikana kwa urahisi hivyo jeshi hilo linaendelea kumtafuta.

“Mheshimiwa Nape amefungua kesi. Ujue picha kuonekana haina maana kwamba yule mtu ataonekana kirahisi lakini upelelezi unaendelea kumtafuta aliyefanya tukio hilo. Wananchi watusaidie, maana suala la kumpata mhalifu ni ushirikiano, sisi tunaenda kwa taarifa, bila taarifa ya uhakika hatuwezi kufanikiwa,” amesema.

Kumbe baada ya tukio wakampeleka Mtwara halafu akaenda kujiongelesha Mtwara.
Mimi nilidhani baada ya Tukio alipelekwa kufichwa huko Paris au Panama. Kumbe Mtwara huko porini???
 
Kumbe hakukamatwa kwa sababu ni mwanaccm! Sale yako mwendazake.
Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
 
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu tarehe 23.3.2017 ambaye alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais mwendazake kwa sakata la makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara Mussa Mussa kijana aliyekua anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao Mtwara hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi jeshi la polisi.


View attachment 2097976
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.

Askari wa Siro ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202


Wasiojulikana wanaendelea kujulikana .

View attachment 2097971



View attachment 2097979
Kweli Mungu ameiumba dunia duara, bad deeds always cathes up with you.
Huyu atakuwa kaua mara mbili, mfanyabishara na ofisa mwenzake.
Ana uthubutu wa mauaji!
 
BAUNSA Kistuli kaingia 18 za Nape.

Inadaiwa ni moja kati ya wale askari 7 wa Mtwara waliomuua mfanyabiashara wa madini na kuchukua mil 70

Mungu huwa anajibu kwa wakati wake, hachelewi wala hawahi.

Hawa mabaunsa wana kazi nyingi sana za uharamu ongezea hapo na kanafasi ka upolisi ndio anakua na meno kamili
%23MillardAyoMagazeti_January_28%2C_2022.jpg
 
Back
Top Bottom